Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wapwaz na binamz !
Leo imetimia miaka 10 tangu mpendwa baba yetu Mzee Paul Joune Sadiki alipoitwa na bwana tarehe 10 Novemba 2001!
Tunamshukuru Mungu kwa maisha yake na kazi kubwa aliyoifanya ya kutulea na hakika kutuandalia maisha yetu ya hivi sasa
Jina la bwana libarikiwe.
Amina.
Wathesalonike wa 1 , Sura ya 4; mstari 13-18
Leo imetimia miaka 10 tangu mpendwa baba yetu Mzee Paul Joune Sadiki alipoitwa na bwana tarehe 10 Novemba 2001!
Tunamshukuru Mungu kwa maisha yake na kazi kubwa aliyoifanya ya kutulea na hakika kutuandalia maisha yetu ya hivi sasa
Jina la bwana libarikiwe.
Amina.
Wathesalonike wa 1 , Sura ya 4; mstari 13-18