Mabinti tabia hii imekaaje?

Jeff

JF-Expert Member
Sep 26, 2009
1,293
199
Yani unakuta demu umemtongoza tu hata wiki bado,mara anaanza kuomba vocha,mara hela ya kusuka,jamani yani ndio umenikubalia tu na hayo ndo yanaanza? Hii ikoje jamani?
 
wewe kaka wapiga kelele za nini....wewe akikuomba epene nawe uluza swali la muhimu si ndio mchongo mzima ulivyo sasa.
mwanaume unatoa hela mwanamke anakupa utamu wa tunda...no longolongo
 
99% of women wanajiuza,some directly e.g ohio street,some indirectly kama hao wanaomba vocha,pesa za kusuka n.k, 1% kweli hawajiuz wana mapenz ya kweli, another 1% in 99% wanatumia migongo ya ulokole ,na kujifanya waislamu safi lakin wanafanya uhuni kupitia blanket za dini.
 
Huu ni msemo wa mwaka! No money no honey, sio?






Ndio kilichobakia hcho mwali n they have to keep in their minds .......
 
Back
Top Bottom