Yamenikutaaa...Yamenikutaaa...yoo

Greater thinker

JF-Expert Member
Sep 12, 2011
286
38
Jaman leo hii na mda huu ninaoandka hii thread ni kama dakika 20 hv zmepita nimetoka kukutana na mdada m1 hv hapa m.city cmjui wala hanijui nkamfuata na kupga nae story sana tu nkamchekesha sana tu na nini ..
Sasa wakat 2nataka kuachana,nkamuomba namba yake ya simu,bac mazungumzo ye2 yakawa hv...
GT ; sasa bishost ntoe contact zko kama vp...yoo
JACK ; gimmie yours...
GT ; 071......3 (Akawa anaisave kwny 4n yake)
JACK ; sasa GT nipe ela ya vocha bac ya kukupgia at least Ten thousands....
Hee hee sasa dada zangu hii tabia mmeanza ln?Achen hzo bhana.....yoo
 
Jaman leo hii na mda huu ninaoandka hii thread ni kama dakika 20 hv zmepita nimetoka kukutana na mdada m1 hv hapa m.city cmjui wala hanijui nkamfuata na kupga nae story sana tu nkamchekesha sana tu na nini ..
Sasa wakat 2nataka kuachana,nkamuomba namba yake ya simu,bac mazungumzo ye2 yakawa hv...
GT ; sasa bishost ntoe contact zko kama vp...yoo
JACK ; gimmie yours...
GT ; 071......3 (Akawa anaisave kwny 4n yake)
JACK ; sasa GT nipe ela ya vocha bac ya kukupgia at least Ten thousands....
Hee hee sasa dada zangu hii tabia mmeanza ln?Achen hzo bhana.....yoo

Kumbe umejichekelesha mwenyewe huna wa kumlaumu hata kama ungepigwa kirungu cha 100,000.00 si unataka uzuri sharti udhulike.
 
number umeomba za nini sasa?c una wako,na bdo tena huyo mdada ni wa ukweli,alijua 2 dawa ya penda penda kama wewe
 
umenifurahishaa sanaa mzee wa rula nimependaa jibu lako ulilompaa chaliii...ten thouuu,kelelee mingiii arifu,sawa sawaa na miatano ya keiiiiii.we ulitegemeaa zipii kama ulileta za kisharo brozoooo...etii yooo.
 
umenifurahishaa sanaa mzee wa rula nimependaa jibu lako ulilompaa chaliii...ten thouuu,kelelee mingiii arifu,sawa sawaa na miatano ya keiiiiii.we ulitegemeaa zipii kama ulileta za kisharo brozoooo...etii yooo.

me co brozoo weee.,kwan kusema yoo n ubronzoo?kwa hyo NAS n sharobaro?...yoo
 
Jaman leo hii na mda huu ninaoandka hii thread ni kama dakika 20 hv zmepita nimetoka kukutana na mdada m1 hv hapa m.city cmjui wala hanijui nkamfuata na kupga nae story sana tu nkamchekesha sana tu na nini ..
Sasa wakat 2nataka kuachana,nkamuomba namba yake ya simu,bac mazungumzo ye2 yakawa hv...
GT ; sasa bishost ntoe contact zko kama vp...yoo
JACK ; gimmie yours...
GT ; 071......3 (Akawa anaisave kwny 4n yake)
JACK ; sasa GT nipe ela ya vocha bac ya kukupgia at least Ten thousands....
Hee hee sasa dada zangu hii tabia mmeanza ln?Achen hzo bhana.....yoo

Lazima ulipie muda uliompotezea kukuchekea.
 
duh mkuu wewe unategemea nini kwani isije ikawa katika story zako ulijipaisha ... na pia sehemu mlipokuwa inawezekana hakuna vocha za buku
 
Sidhani kama mlikua serious, kuanzia maneno mpaka lugha mlotumia!! Na hapo alikuwa anakutikisa tu, vipi ulimpa?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom