Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Jaman leo hii na mda huu ninaoandka hii thread ni kama dakika 20 hv zmepita nimetoka kukutana na mdada m1 hv hapa m.city cmjui wala hanijui nkamfuata na kupga nae story sana tu nkamchekesha sana tu na nini ..
Sasa wakat 2nataka kuachana,nkamuomba namba yake ya simu,bac mazungumzo ye2 yakawa hv...
GT ; sasa bishost ntoe contact zko kama vp...yoo
JACK ; gimmie yours...
GT ; 071......3 (Akawa anaisave kwny 4n yake)
JACK ; sasa GT nipe ela ya vocha bac ya kukupgia at least Ten thousands....
Hee hee sasa dada zangu hii tabia mmeanza ln?Achen hzo bhana.....yoo
Sasa wakat 2nataka kuachana,nkamuomba namba yake ya simu,bac mazungumzo ye2 yakawa hv...
GT ; sasa bishost ntoe contact zko kama vp...yoo
JACK ; gimmie yours...
GT ; 071......3 (Akawa anaisave kwny 4n yake)
JACK ; sasa GT nipe ela ya vocha bac ya kukupgia at least Ten thousands....
Hee hee sasa dada zangu hii tabia mmeanza ln?Achen hzo bhana.....yoo