Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Ni msela wangu wa karibu sana, anakaribia kufunga pingu za maisha very soon na mchumba wake, lets say R,
Jamaa alikuwa na Mahusiano na binti Flani hv lets say Q,
jamaa kamwambia live Q juu ya azma yake ya Kumvuta R,
Q anamjua R na alikuwa anagombana sana na jamaa kuhusu hili,
Jamaa ame scruntinize na kujua kuwa (yeye) kuwa na wote sio ujanja wala nini so akaamua atangaze ndoa na R na ampe live Q about this, Msela katumia busara ya hali ya juu kuli present hili kwa R.
Tulimshauri of course; R alipowasilishwa hili alisikitika sana ila hakuwa na jinsi, as days goes on R anazidi kujitahi kuwa close na msela (Msela inaonekana ana mega kisela still kwa Q), ila msela ana feel guilty sana na hii issue, anaomba ushauri afanye nini.
Naahidi ntampelekea lolote mtakalochangia as Msela sio JF member
Jamaa alikuwa na Mahusiano na binti Flani hv lets say Q,
jamaa kamwambia live Q juu ya azma yake ya Kumvuta R,
Q anamjua R na alikuwa anagombana sana na jamaa kuhusu hili,
Jamaa ame scruntinize na kujua kuwa (yeye) kuwa na wote sio ujanja wala nini so akaamua atangaze ndoa na R na ampe live Q about this, Msela katumia busara ya hali ya juu kuli present hili kwa R.
Tulimshauri of course; R alipowasilishwa hili alisikitika sana ila hakuwa na jinsi, as days goes on R anazidi kujitahi kuwa close na msela (Msela inaonekana ana mega kisela still kwa Q), ila msela ana feel guilty sana na hii issue, anaomba ushauri afanye nini.
Naahidi ntampelekea lolote mtakalochangia as Msela sio JF member