Chonde Chonde Wazenji!

MwafrikaHalisi

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
1,741
510
Jamani Wazanzibari hata kama mnavunja muungano basi isiwe kwa shari msije tupeperushia njiwa wetu ati. Wengine sie shemeji zenu. Hala hala kidole na macho. Natumai kujamiiana (socialization) kutaendelea kama kawaida. Ahsante!
 
Ni kweli muungano tuuvunje ila kujamiiina kubakie pale pale! Ila wazenji mabinti zao wote wamekwisha......ila utawakuta ni bikra lakini!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom