Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Back to Top MALAWI: "Malawi Sex Workers Sue Government After Forced HIV Test" Agence France Presse (11.13.11) Fourteen Malawian prostitutes are suing the government after being forced to...
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Juzi nilikuwa maeneo ya dodoma, sarafina bar, napata soda huku pembeni meza ya pili wakiwa wamekaa wadada wanne nao wakipata moja moto moja baridi. Kwa chati nikawa nawaibia maongezi yao baada ya...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani tuwapende vipi? Mwanaume umemaliza chuo na kupata kazi, mpenzi wako unamatarajio nae ndo kwanza anaanza chuo mwaka wa kwanza halafu anakuletea mambo ya ajabu aaagggrrrrrrrrr...... Hivi...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Wapendwa ninatumaini wote mu wazima. Ninaomba msaada wenu Eti inawezekana kwa wazazi waliotengana wakabaki marafiki? Kuwa kwa kuwa mmejaaliwa mtoto/watoto kisha mkatengana, na mnajua kabisa (or...
10 Reactions
206 Replies
13K Views
Jamani mimi ni mume wa mtu na nina mtoto mmoja. Katika pitapita zangu mdada mmoja katokea kunizimikia ile mbaya. Nimejaribu kumkwepa lakini waapi, kila siku ananipa majaribu!Kuna siku alinialika...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Mi sijaolewa ila naishi na mpenzi wangu. Napenda sana kufanya mapenzi, yaani siku ambazo nakosa ni zile ambazo niko kwenye RED CROSS. Huwa sioni aibu kumwambia anitekenye wapi, au anilambe wapi...
5 Reactions
55 Replies
6K Views
Katika uwanja huu wa mahusiano, mapenzi na marafiki ni mgeni, lakini ktk nyanja nyingine si mgeni kivile, hivyo kabla ya yote niwaombe wadau mnipokee kwani si busara kuingia pahali bila kubisha...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
kuna mkaka niliwahi kumdate arafu tulikaa miezi ka 2 tukagombana kwa k2 kidogo tukaliana cul miaka 2, akanitafuta kanieleza kipindi kile tatizo lilikuwa nini me nikampotezea takiribini miezi 4...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
nasisitiza wazazi tuongee na wenetu jaman tuache kukumbatia mila na desturi zinazotungamiza jana nipo kwenye dala dala natokea kimara kwenda kkoo watoto wa shule wamepanda wakaka seta ya nyuma...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Umeanza kuimiliki sio muda mrefu Speed yake usipime, ni mchakamchaka unaifurahia lakini unahisi hutakuwa na ubavu wa kuhimili kwa muda mrefu maana kilasiku ndio kwanza kama jana Hakuna cha...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nina girlfriend 2,wote wananipenda nashindwa fanya maamuzi coz nikimwacha mmoja sitajisikia kama namtendea haki naye atanilaumu sana.kubwa zaidi nimegundua kuwa wanakaa karibu na watakuja...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
@arusha,baba mngoni ,mama mchagga. kagundua kuwa bf wake ni jambazi, baada ya kuiona bastola yake akamuuliza kwa upole bf akakubali ila akamuahidi anaitaji matukio matatu tu ila aachane na...
0 Reactions
69 Replies
6K Views
Habari zenu wapendwa,,kuna binti flan nampa jina la Jen,huyu jen na familia yao yote ni walokole,jen elimu yake ni ya form four na ana miaka 20 kwa sasa,wazazi wake ni wakulima tu na wana elimu ya...
3 Reactions
165 Replies
11K Views
Jamaa baada ya kupewa uroda mara moja tu na mdada, akajikata, no phone calls, no emails, nothing...! mdada alikauka nae kumpima kama atawasiliana lakini wapi. miezi miwili imekatika jamaa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Habar za masiku wanajamvi la MMU. Me bado hali yangu ni tete na hiki kitambi. Leo nikiwa clinic nimepata kisa cha kusikitisha, kuna dada mjazito alikuwa analia. Katika maongezi akaniambia ana...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Nimeamini mwanamke c wa kumuamini na c wote ILA wengi wao cjui wana fikiria kitu gani,Mfano jana kuna demu ameletwa na rafiki yake ambaye ni shem wangu basi tukapiga story sana yule demu...
0 Reactions
86 Replies
10K Views
jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza (A)sifa za nimtakae 1 awe...
3 Reactions
188 Replies
13K Views
Usiipe nafasi hofu Nyote mnapaswa kuwa na hisia zenye afya ili kujenga uhusiano wenye mafanikio. Kwa mfano, siyo dalili nzuri kama unakuwa kwenye uhusiano kwa sababu tu unahofu kuwa mpweke. Ni...
1 Reactions
10 Replies
16K Views
Awe anajua majukumu yake yote muhmu kwa mumewe,sio tuanze kufundishana tena.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…