@arusha,baba mngoni ,mama mchagga.
kagundua kuwa bf wake ni jambazi, baada ya kuiona bastola yake akamuuliza kwa upole bf akakubali ila akamuahidi anaitaji matukio matatu tu ila aachane na ujambazi.Anadai anataka mtaji wa kufungua duka la kuuza pikipiki za mchina hapa Arusha .Akadai strictly hajawai kuuwa na yuko makini hawezi kunaswa na akinaswa ana uhakika wa kutolewa.
Mdada kashampenda sana jamaa na anadai amewahi kuwa na mahusiano na wanne wote walimuacha ndani ya miezi isozidi sita ila huyu ndiye aliyedumu naye mwaka na nusu na mkaka kashamtambulisha kwao,mawifi zake (to be) wanampenda sana na always humwambia tunashukuru as now days kaka yetu yuko fucused anaijali familia, mipombe kapunguza, anaiheshimu kazi yake (tour guide),
Confidential: Mdada mwenyewe analipa (uzuri) kwa 40% na umri umesogea na jamaa yuko presentable 70%
kagundua kuwa bf wake ni jambazi, baada ya kuiona bastola yake akamuuliza kwa upole bf akakubali ila akamuahidi anaitaji matukio matatu tu ila aachane na ujambazi.Anadai anataka mtaji wa kufungua duka la kuuza pikipiki za mchina hapa Arusha .Akadai strictly hajawai kuuwa na yuko makini hawezi kunaswa na akinaswa ana uhakika wa kutolewa.
Mdada kashampenda sana jamaa na anadai amewahi kuwa na mahusiano na wanne wote walimuacha ndani ya miezi isozidi sita ila huyu ndiye aliyedumu naye mwaka na nusu na mkaka kashamtambulisha kwao,mawifi zake (to be) wanampenda sana na always humwambia tunashukuru as now days kaka yetu yuko fucused anaijali familia, mipombe kapunguza, anaiheshimu kazi yake (tour guide),
Confidential: Mdada mwenyewe analipa (uzuri) kwa 40% na umri umesogea na jamaa yuko presentable 70%