Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Umeanza kuimiliki sio muda mrefu Speed yake usipime, ni mchakamchaka
unaifurahia lakini unahisi hutakuwa na ubavu wa kuhimili kwa muda mrefu maana kilasiku ndio kwanza kama jana
Hakuna cha milima wala mabonde haijalishi mvua inanyesha wala jua kali ni mwendo tu mradi starter
unaifurahia lakini unahisi hutakuwa na ubavu wa kuhimili kwa muda mrefu maana kilasiku ndio kwanza kama jana
Hakuna cha milima wala mabonde haijalishi mvua inanyesha wala jua kali ni mwendo tu mradi starter