Nasikia unaweza kukonda, kama wewe utafanyaje?

Elia

JF-Expert Member
Dec 30, 2009
3,425
567
Umeanza kuimiliki sio muda mrefu Speed yake usipime, ni mchakamchaka

unaifurahia lakini unahisi hutakuwa na ubavu wa kuhimili kwa muda mrefu maana kilasiku ndio kwanza kama jana

Hakuna cha milima wala mabonde haijalishi mvua inanyesha wala jua kali ni mwendo tu mradi starter
 
Utakuuwa kama huwezi wachananao, kama ingekua tamu wala usingeikuta tafuta size yako asikutowe roho....
 
Mböna kawaida 2,kuna style zake ambazo zitafanya speed ipungue,jamani hamjifunzi?mbona kuna mambo ya 4aplay,unafanya mambo pale Gspot,ukifuatilia mambo haya heshima itarudi mbona cc wana2ng'ang'ania? C kwamambo hayo?tetea uanaume wako kijana..
 
Umeanza kuimiliki sio muda mrefu Speed yake usipime, ni mchakamchaka

unaifurahia lakini unahisi hutakuwa na ubavu wa kuhimili kwa muda mrefu maana kilasiku ndio kwanza kama jana

Hakuna cha milima wala mabonde haijalishi mvua inanyesha wala jua kali ni mwendo tu mradi starter
Kwa mara ya kwanza Thread ime-fail ku-communicate na mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom