Jamani mimi ni mume wa mtu na nina mtoto mmoja. Katika pitapita zangu mdada mmoja katokea kunizimikia ile mbaya. Nimejaribu kumkwepa lakini waapi, kila siku ananipa majaribu!Kuna siku alinialika kwake nikakataa kwenda, akamtuma mshkaji wangu atafte mbinu ya kunipeleka kwake. Mi sikujua kama mshkaji wangu alitumwa na yule demu, ila jamaa yangu alinambia kuna dadake anaumwa so twende nae (kwa usafiri wangu) ili ampeleke hospitali. Tulipofika tukaingia ndani na mshikaji akanambia nimsubiri anatoka idogo, sijakaa sawa demu yule anaenimind akatokea kavaa kihasara hasara, looh!Wanaume wenzangu jamani mnajua tulivyo hasa tuonapo baadhi ya maungo ya hawa kina Eve. Kwa kweli uzalendo ulinishinda nikajikuta naharibu na yule dada. Sikumini nilichokiona kwani yule dada alikuwa hajabanjuliwa na mtu!Yani mi ndo nlikuwa wa kwanza na kobaya zaidi sikuvaa hata buti!Niliregreat sana kile kitendo na skutaka tena kurudia kufanya na yule dada.
Baada ya kama miezi miwili yule demu ananiambia ana ujauzito wangu, na keshawambia wazazi wake kuwa mi ndo muhusika na wazazi wake wananikomalia nimuoe (ye mwislamu mi mkristo). Hapa nilipo nahisi kama nina kiwiliwili bila kichwa, nampenda sana my wife na mwanangu na sitaki hata wife ajue hiyo issue.
Whay should I do?Natamani nikimbie kabisa nisionekane hapa duniani. Tell me jamani nifanyeje?
Baada ya kama miezi miwili yule demu ananiambia ana ujauzito wangu, na keshawambia wazazi wake kuwa mi ndo muhusika na wazazi wake wananikomalia nimuoe (ye mwislamu mi mkristo). Hapa nilipo nahisi kama nina kiwiliwili bila kichwa, nampenda sana my wife na mwanangu na sitaki hata wife ajue hiyo issue.
Whay should I do?Natamani nikimbie kabisa nisionekane hapa duniani. Tell me jamani nifanyeje?