salam wana jf.mimi ni mwana mama mume wangu hataki nifanye kazi anataka nitunze familia iyo nimekubaliana nalo.lakini mume huyu huyu hana upendo kabisa yeye kurudi ni manane ya usiku na vituko...
Mornin wana JF,
cku hizi udanganyifu ktk mapenzi limekua jambo la kawaida sana. kila kukicha relationships znabreak kwasababu ya
uaminifu umekuwa zero!..nimejaribu kuangalia kwa undani chanzo hasa...
TYPES OF HUSBANDS
WAKINA DADA ANGALIENI WAUME ZENU WAPO KUNDI GANI
WABABA HEMBU TUSOME HAPA TUJE TUPO KWA MNYAMA YUPI
Haya......kazi ni kwako...
MR MONKEY
Mr Monkey is only married on...
Mimi ni kijana wa miaka 26 kabila langu ni mchaga na ni mkristo mkatoliki, nafanya kazi za kutengeneza ingine, gearbox na diff za malori. ninahitaji kuoa na ninatafuta mke. sifa za mke...
Kuna binti m1 jirani yangu ktk rukaruka zake kapata mimba,jamaa wake kamshauri wakaitoe,yeye hataki na anakaa na bibi yake.Kaja kwangu kuomba ushauri,nimshaurije jamani?naombeni msaada wenu
hi boys and girls ladies and gentlemen am look friend to chat with regardless to level of education and other factor am at forest institute at arusha
region ma phone number is 0766849317...
Kama kungekuwa anapokufa mtu basi na ibada inakufa basi waumini wengi wangeama dini zao
Pengine umekutana na matatizo mengi ya maisha na wengine mmefiwa na wapenzi wenu
Leo naomba muwe na imani...
Najua ni ijumaa nyingine ya furaha hasa kwa wale wanaopokea mishahara kuanziatar 18 nk na leo wameungana na kwa furaha na wale wanaosubiri mpaka tar 37 ama 40tena wanakunywa na kufurahi kwa pamoja...
NATAFUTA MSICHANA AU MWANAMKE WA KUOANA:
SIFA ZAKE:
1. UMRI: Kuanzia miaka 14 mpaka 65
2. ELIMU: Sio Muhimu
3. AFYA: i) Awe Tayari Kupima magonjwa yote ya kuambukiza
ii)...
Kuna tatizo linansumbua sana..Ex wangu ambae tuliachana nae kama mwaka hivi umepita, amerudi kwa kasi kuniomba turudiane..juzi usiku wakati nipo na girlfriend wangu,alinitumia meseji, kwa bahati...
Nalewa hata katikati ya wiki....huyu mke wangu ananikondesha,ana mdomo nye acheni tu.
hapa naelekea nyumbani huku natunga sound za kumwingilia,
ni mbishi,ana kiburi,nikiwa serious kumweleza mambo...
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi...
Je, mlishawahi kujiuliza ni kwanini ma-house girl huwavutia waume zenu kuliko nyie wake zao?
Nyie wanawake ndio wa kujilaumu kwasababu tatizo liko kwenu na sio kwao wala kwa waume zenu…...
Hope wazima nyote....Mm ni msichana mwenye 24yrz...nina miaka mitano toka Mungu aliponkutanisha na mume wangu kipenzi, mpaka sasa naishi na mume wangu lakini mimi nae dini tofauti.
Mimi muislam...
kuna siku nilikuja na thread yenye kickwa hiki nisaidieni-nifanyeje-kuhusu-gf-wangu
kwa ufupi nilikuwa napewa taarifa na mdogo yake ambaye ni rafiki yangu sana kuwa dada yake sio mwaminifu kwangu...
Habari zenu wakubwa!ebana,nina galfrd wangu wa muda kidogo,ilitokea 2kaznguana thn 2kasameheana bt since then,she real dnt trust me kabisa.mnaweza kunshauri nin cha kufanya kurudisha imani yake...
Nina umri wa miaka 35, ninafanyakazi Dar es Salaam. Mchumba ninayemtafuta,
- Awe na umri wa kuanzia miaka 26-32
- Awe mkristo na awe tayari kuishi sehemu yoyote Tanzania au duniani
- Nina lengo...
Mambo vp wana Jf.
Fikiria We ni mwanaume una mkeo mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kidogo kama miaka kumi hivi na unaipenda sana ndoa yako na wife anakuamini kupita kiasi, harafu ww ni mtu wa...
Wewe tumefahamiana katika mazingira ya kistaarabu, tumezoeana kama binadamu wengine bila kuvuka mipaka, najua umeoa ila mimi hujui status yangu kama nimeolewa au niko single, kutokana na kwamba...
Cameroon kaamua kwa halina mali kuyashika masaburi ya waafrika weney kiherehere cha kuomba misaada ..sasa hizi ndoa zikiruhusia zitafugwa wapi na nani? Kwa imani gani?
Kwa nini hawaendi huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.