Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

salam wana jf.mimi ni mwana mama mume wangu hataki nifanye kazi anataka nitunze familia iyo nimekubaliana nalo.lakini mume huyu huyu hana upendo kabisa yeye kurudi ni manane ya usiku na vituko...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mornin wana JF, cku hizi udanganyifu ktk mapenzi limekua jambo la kawaida sana. kila kukicha relationships znabreak kwasababu ya uaminifu umekuwa zero!..nimejaribu kuangalia kwa undani chanzo hasa...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
TYPES OF HUSBANDS WAKINA DADA ANGALIENI WAUME ZENU WAPO KUNDI GANI WABABA HEMBU TUSOME HAPA TUJE TUPO KWA MNYAMA YUPI Haya......kazi ni kwako... MR MONKEY Mr Monkey is only married on...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 26 kabila langu ni mchaga na ni mkristo mkatoliki, nafanya kazi za kutengeneza ingine, gearbox na diff za malori. ninahitaji kuoa na ninatafuta mke. sifa za mke...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Kuna binti m1 jirani yangu ktk rukaruka zake kapata mimba,jamaa wake kamshauri wakaitoe,yeye hataki na anakaa na bibi yake.Kaja kwangu kuomba ushauri,nimshaurije jamani?naombeni msaada wenu
0 Reactions
11 Replies
1K Views
hi boys and girls ladies and gentlemen am look friend to chat with regardless to level of education and other factor am at forest institute at arusha region ma phone number is 0766849317...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kungekuwa anapokufa mtu basi na ibada inakufa basi waumini wengi wangeama dini zao Pengine umekutana na matatizo mengi ya maisha na wengine mmefiwa na wapenzi wenu Leo naomba muwe na imani...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Najua ni ijumaa nyingine ya furaha hasa kwa wale wanaopokea mishahara kuanziatar 18 nk na leo wameungana na kwa furaha na wale wanaosubiri mpaka tar 37 ama 40tena wanakunywa na kufurahi kwa pamoja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NATAFUTA MSICHANA AU MWANAMKE WA KUOANA: SIFA ZAKE: 1. UMRI: Kuanzia miaka 14 mpaka 65 2. ELIMU: Sio Muhimu 3. AFYA: i) Awe Tayari Kupima magonjwa yote ya kuambukiza ii)...
0 Reactions
133 Replies
12K Views
Kuna tatizo linansumbua sana..Ex wangu ambae tuliachana nae kama mwaka hivi umepita, amerudi kwa kasi kuniomba turudiane..juzi usiku wakati nipo na girlfriend wangu,alinitumia meseji, kwa bahati...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nalewa hata katikati ya wiki....huyu mke wangu ananikondesha,ana mdomo nye acheni tu. hapa naelekea nyumbani huku natunga sound za kumwingilia, ni mbishi,ana kiburi,nikiwa serious kumweleza mambo...
0 Reactions
105 Replies
7K Views
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Je, mlishawahi kujiuliza ni kwanini ma-house girl huwavutia waume zenu kuliko nyie wake zao? Nyie wanawake ndio wa kujilaumu kwasababu tatizo liko kwenu na sio kwao wala kwa waume zenu&#8230...
7 Reactions
124 Replies
15K Views
Hope wazima nyote....Mm ni msichana mwenye 24yrz...nina miaka mitano toka Mungu aliponkutanisha na mume wangu kipenzi, mpaka sasa naishi na mume wangu lakini mimi nae dini tofauti. Mimi muislam...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
kuna siku nilikuja na thread yenye kickwa hiki nisaidieni-nifanyeje-kuhusu-gf-wangu kwa ufupi nilikuwa napewa taarifa na mdogo yake ambaye ni rafiki yangu sana kuwa dada yake sio mwaminifu kwangu...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa!ebana,nina galfrd wangu wa muda kidogo,ilitokea 2kaznguana thn 2kasameheana bt since then,she real dnt trust me kabisa.mnaweza kunshauri nin cha kufanya kurudisha imani yake...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nina umri wa miaka 35, ninafanyakazi Dar es Salaam. Mchumba ninayemtafuta, - Awe na umri wa kuanzia miaka 26-32 - Awe mkristo na awe tayari kuishi sehemu yoyote Tanzania au duniani - Nina lengo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mambo vp wana Jf. Fikiria We ni mwanaume una mkeo mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kidogo kama miaka kumi hivi na unaipenda sana ndoa yako na wife anakuamini kupita kiasi, harafu ww ni mtu wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wewe tumefahamiana katika mazingira ya kistaarabu, tumezoeana kama binadamu wengine bila kuvuka mipaka, najua umeoa ila mimi hujui status yangu kama nimeolewa au niko single, kutokana na kwamba...
2 Reactions
68 Replies
5K Views
Cameroon kaamua kwa halina mali kuyashika masaburi ya waafrika weney kiherehere cha kuomba misaada ..sasa hizi ndoa zikiruhusia zitafugwa wapi na nani? Kwa imani gani? Kwa nini hawaendi huko...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom