Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hati ya talaka ni kweli ilikuweko katika jamii ya kiisraeli mwanamume aliweza kutoa hati ya talaka lakini sio kwa kila jambo hasa ni katika uzinzi ambao tutauongelea zaidi katika agano jipya Yesu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
jmn nilikuwa na mpenzi na nilikuwa nina mpenda cna kuliko chchte ila cha kushangaza ghafla alipotea ktk mazingira ya kutatanisha kwenye cmu hapatikani kweny facebook haonekani kweny badoo simuoni...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Napenda kujua historia ya mtu katika relations kabla ya ku-stick nae. Lakini hii niliyo pewa ime nivunja moyo na sidhani kama hua namaanisha pale ninaposema napenda ukweli,...the truth...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Habari zenu jf!mimi ni kijana wa miaka 29.natafuta rafiki wa kike wa kuwa karibu na mimi,mpaka 2funge ndoa.nafanya kazi..Mwenye sifa zifuatazo tuwasiliane kupitia jonathan@gmail.com 1.Mzuri...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Moyo wangu unagiza kuu Ni mpweke sana sana... Uko wape eh binti mwenye kujua mateso ya moyo mpweke? Uko wape ehh binti ,wenye funguo ya kuutoa upweke wangu? Njoo ee malaika,mrembo na ua...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
​ malezi ni kati ya maswala nyeti yanayopaswa kupewa uzito unaostahili miongoni mwa wazazi, familia, jamii na Kanisa/msikiti kwa ujumla. Hii inatokana na uwepo wa mabadiliko makubwa katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1 Reactions
2 Replies
2K Views
salam wana jf.mimi ni mwana mama mume wangu hataki nifanye kazi anataka nitunze familia iyo nimekubaliana nalo.lakini mume huyu huyu hana upendo kabisa yeye kurudi ni manane ya usiku na vituko...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mornin wana JF, cku hizi udanganyifu ktk mapenzi limekua jambo la kawaida sana. kila kukicha relationships znabreak kwasababu ya uaminifu umekuwa zero!..nimejaribu kuangalia kwa undani chanzo hasa...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
TYPES OF HUSBANDS WAKINA DADA ANGALIENI WAUME ZENU WAPO KUNDI GANI WABABA HEMBU TUSOME HAPA TUJE TUPO KWA MNYAMA YUPI Haya......kazi ni kwako... MR MONKEY Mr Monkey is only married on...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 26 kabila langu ni mchaga na ni mkristo mkatoliki, nafanya kazi za kutengeneza ingine, gearbox na diff za malori. ninahitaji kuoa na ninatafuta mke. sifa za mke...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Kuna binti m1 jirani yangu ktk rukaruka zake kapata mimba,jamaa wake kamshauri wakaitoe,yeye hataki na anakaa na bibi yake.Kaja kwangu kuomba ushauri,nimshaurije jamani?naombeni msaada wenu
0 Reactions
11 Replies
1K Views
hi boys and girls ladies and gentlemen am look friend to chat with regardless to level of education and other factor am at forest institute at arusha region ma phone number is 0766849317...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kungekuwa anapokufa mtu basi na ibada inakufa basi waumini wengi wangeama dini zao Pengine umekutana na matatizo mengi ya maisha na wengine mmefiwa na wapenzi wenu Leo naomba muwe na imani...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Najua ni ijumaa nyingine ya furaha hasa kwa wale wanaopokea mishahara kuanziatar 18 nk na leo wameungana na kwa furaha na wale wanaosubiri mpaka tar 37 ama 40tena wanakunywa na kufurahi kwa pamoja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NATAFUTA MSICHANA AU MWANAMKE WA KUOANA: SIFA ZAKE: 1. UMRI: Kuanzia miaka 14 mpaka 65 2. ELIMU: Sio Muhimu 3. AFYA: i) Awe Tayari Kupima magonjwa yote ya kuambukiza ii)...
0 Reactions
133 Replies
12K Views
Kuna tatizo linansumbua sana..Ex wangu ambae tuliachana nae kama mwaka hivi umepita, amerudi kwa kasi kuniomba turudiane..juzi usiku wakati nipo na girlfriend wangu,alinitumia meseji, kwa bahati...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nalewa hata katikati ya wiki....huyu mke wangu ananikondesha,ana mdomo nye acheni tu. hapa naelekea nyumbani huku natunga sound za kumwingilia, ni mbishi,ana kiburi,nikiwa serious kumweleza mambo...
0 Reactions
105 Replies
7K Views
Awe mchaMungu, umri usizidi miaka 27, awe tayari kupima VVU, mweupe au maji ya kunde, mrefu wasitani, asiwe na watoto na hajawahi kuzaa au kuolewa, mtanzania, mzuri wa umbile, mcheshi, wafanyakazi...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Je, mlishawahi kujiuliza ni kwanini ma-house girl huwavutia waume zenu kuliko nyie wake zao? Nyie wanawake ndio wa kujilaumu kwasababu tatizo liko kwenu na sio kwao wala kwa waume zenu&#8230...
7 Reactions
124 Replies
15K Views
Back
Top Bottom