lolyz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 339
- 199
Kwa wanaume mli-ooa(married) hivi kwanini baadhi yenu mkeo akipendeza mnanuna? (naongelea age mate kati ya 29-35..huko kwingine sijafikia (time will tell)
wakati mkiwa wote labda mmekaa mahali akipita mwanadada kapendeza zake tuseme kiumri hawapishani sana na mkeo mnajiiba- iba kuwatizama,haya mimi name nikipigilia vivazi vyangu na kaleswig kangu+ mekup zangu we unanuna..kwanini lakini au ndio eti mwingine anapenda wadada wanaovaa min sket ila mkewe anampelekea midabwada kisa mke wa mtu ?mi ukileta sivai ng'o au ntapeleka kwa fundi atengenezee vizuri - Kwani nani kasema kuwa mkeo hatopendeza na hizo min sket ? hebu ushauri wenu jamani
wakati mkiwa wote labda mmekaa mahali akipita mwanadada kapendeza zake tuseme kiumri hawapishani sana na mkeo mnajiiba- iba kuwatizama,haya mimi name nikipigilia vivazi vyangu na kaleswig kangu+ mekup zangu we unanuna..kwanini lakini au ndio eti mwingine anapenda wadada wanaovaa min sket ila mkewe anampelekea midabwada kisa mke wa mtu ?mi ukileta sivai ng'o au ntapeleka kwa fundi atengenezee vizuri - Kwani nani kasema kuwa mkeo hatopendeza na hizo min sket ? hebu ushauri wenu jamani