Maongezi marefu ya jinsia moja kisayansi yanaitwa umbeya, tetea hoja yako kabla wazembe hawajafanya name callingI don't think so.
Mi mbona hua naongea na wadada mpaka nasahau muda.
Maongezi marefu ya jinsia moja kisayansi yanaitwa umbeya, tetea hoja yako kabla wazembe hawajafanya name calling
Umeidefine kitanzania au kishekoslovakia. Mimi nimetoa definishen kibongo na inakubalika kabisa na JF rulesUmbea sio maongezi ya jinsia moja bali ni maongezi kati ya jinsia yoyote yanayohusu kuponda na kusema watu wengine.
Umeidefine kitanzania au kishekoslovakia. Mimi nimetoa definishen kibongo na inakubalika kabisa na JF rules
semea nafsi yako sio wote,unapenda peke yako.
Wanawake wana desturi ya kusema uongo!Ona humu wanavyodanganya!