Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Kuna wakati inatokea ukawa na mpenzi iwe mpenzi wako wa kike ama wa kiume.
Kama ilivyo kawaida mapenzi kati ya mtu na mtu mara kadhaa hua yanakuja kwa misimu au awamu (seasonal).
Nikimaanisha mnaweza kutongozana leo na muda mchache ujao mkaanza kupeana miili yenu kama ilivyo ada.
Mwanzoni mnapoanza mapenzi hua si rahisi nyote wawili akatokea anaejua penzi husika litadumu kwa muda upi, na pale inapofikia mkatafautiana ofcoz ndiyo inapokua hatima ya penzi lenu, endapo hapajatokea wa kuthubutu kuanzisha dialogue opology baina yenu.
Aidha kwa kua nyote biologicaly maungo yenu ya yapo kamili na haiyumkiniki au haiwezekani ukawa ndiyo mwisho wenu wa kuingia kwenye mapenzi na wapenzi wapya.
After steap aside each other inatokea kila mmoja kati yenu ana mwenza mpya hivyo matukio haya ya kuwa na wapenzi tofautitofauti hutokea mara kadhaa zinapotokea sababu za kuachana, hivyo inawezekana ikatokea ukajikuta kwa mwaka uwe She/He ume'Run/deal na wapenzi kati ya wawili au wa3-4 inategeme na upepo utakavyokua.
Kwa maana hiyo maadamu umeshatembea na She/He zaidi ya mmoja ni dhahiri wapenzi hao hawawezi kuwa sawa katika utundu wa yale mambo flani, kuna watakaokua mahiri sana, mahari wa wastani, na wazembewazembe wasiojituma vilivyo at the lovepitch.
Na hapa hasa ndiyo nilipopalenga mfano nijitolee mie mwenyewe kuna kipindi nilikua na Gf ambae alikua yu'mahiri si kawaida, m'bunifu mtundu inshort alikua mtaaluma kupita sana kunako germ!, nikiwa bado nikonae mtaaluma huyu katika mahusiano mazuri wavimbamacho (wambea) kuna siku wakanitonya kua kuna Mshua ananipigia Mtaaluma wangu, nikachukua hatua ku'followup as soon nikathibitisha kwamba habari zile ni za kweli.
Hakika nilipata maumivu makali ambayo siwezi nikayaandika na nikajiridhisha kwamba nitakavyo yaeleza ndivyo yalivyokua.
Sio siri kubwa lililoniumiza ni yale Mataaluma namna ambavyo nae Mshua anapewa nikihisi huenda kama si kiasi vile navyopewa mie au zaidi, na mwisho wangu na Mtaaluma ukahitimia hapo.
Kwa nyakati tofauti nikaja nikapata mwingine ambae huyu alikua si mahiri ndiyo katika wale wazembewazembe kwenye germ, huyu nilikua nae kwa muda na nilimvumilia kua nae penzini pamoja na ugoigoi wake.
Kilichonipata kwa huyu hakina tofauti na Mtaaluma, lakini cha kushangaza huyu Mzembe nilifanikiwa kumfumania live anajitoma guest na jamaa na sikuumia nafsi kivile nilivyoumia kwa Mtaaluma. Nina hakika kwa mfano huu ukiugeuza visse-vessa kwa wenzetu wanawake hautotafautina, story itakua ni hiihii.
Kama yupo atakaenipinga hili hapa Mkekani namkaribisha aje na vigezo toshelevu kwamba wapi si sawa.
Naomba kutoa hoja.
Kama ilivyo kawaida mapenzi kati ya mtu na mtu mara kadhaa hua yanakuja kwa misimu au awamu (seasonal).
Nikimaanisha mnaweza kutongozana leo na muda mchache ujao mkaanza kupeana miili yenu kama ilivyo ada.
Mwanzoni mnapoanza mapenzi hua si rahisi nyote wawili akatokea anaejua penzi husika litadumu kwa muda upi, na pale inapofikia mkatafautiana ofcoz ndiyo inapokua hatima ya penzi lenu, endapo hapajatokea wa kuthubutu kuanzisha dialogue opology baina yenu.
Aidha kwa kua nyote biologicaly maungo yenu ya yapo kamili na haiyumkiniki au haiwezekani ukawa ndiyo mwisho wenu wa kuingia kwenye mapenzi na wapenzi wapya.
After steap aside each other inatokea kila mmoja kati yenu ana mwenza mpya hivyo matukio haya ya kuwa na wapenzi tofautitofauti hutokea mara kadhaa zinapotokea sababu za kuachana, hivyo inawezekana ikatokea ukajikuta kwa mwaka uwe She/He ume'Run/deal na wapenzi kati ya wawili au wa3-4 inategeme na upepo utakavyokua.
Kwa maana hiyo maadamu umeshatembea na She/He zaidi ya mmoja ni dhahiri wapenzi hao hawawezi kuwa sawa katika utundu wa yale mambo flani, kuna watakaokua mahiri sana, mahari wa wastani, na wazembewazembe wasiojituma vilivyo at the lovepitch.
Na hapa hasa ndiyo nilipopalenga mfano nijitolee mie mwenyewe kuna kipindi nilikua na Gf ambae alikua yu'mahiri si kawaida, m'bunifu mtundu inshort alikua mtaaluma kupita sana kunako germ!, nikiwa bado nikonae mtaaluma huyu katika mahusiano mazuri wavimbamacho (wambea) kuna siku wakanitonya kua kuna Mshua ananipigia Mtaaluma wangu, nikachukua hatua ku'followup as soon nikathibitisha kwamba habari zile ni za kweli.
Hakika nilipata maumivu makali ambayo siwezi nikayaandika na nikajiridhisha kwamba nitakavyo yaeleza ndivyo yalivyokua.
Sio siri kubwa lililoniumiza ni yale Mataaluma namna ambavyo nae Mshua anapewa nikihisi huenda kama si kiasi vile navyopewa mie au zaidi, na mwisho wangu na Mtaaluma ukahitimia hapo.
Kwa nyakati tofauti nikaja nikapata mwingine ambae huyu alikua si mahiri ndiyo katika wale wazembewazembe kwenye germ, huyu nilikua nae kwa muda na nilimvumilia kua nae penzini pamoja na ugoigoi wake.
Kilichonipata kwa huyu hakina tofauti na Mtaaluma, lakini cha kushangaza huyu Mzembe nilifanikiwa kumfumania live anajitoma guest na jamaa na sikuumia nafsi kivile nilivyoumia kwa Mtaaluma. Nina hakika kwa mfano huu ukiugeuza visse-vessa kwa wenzetu wanawake hautotafautina, story itakua ni hiihii.
Kama yupo atakaenipinga hili hapa Mkekani namkaribisha aje na vigezo toshelevu kwamba wapi si sawa.
Naomba kutoa hoja.