Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo Awe bikira Umri: 22-28 Awe Muaminifu na mcha Mungu Hajatoga masikio Awe mweupe Awe na Elimu inayozidi form 4 Awe mwalimu Awe hapendi kuvaa suruali Awe...
1 Reactions
114 Replies
15K Views
Wadau mi naona kuwa na rafiki wa kike ambaye si mpenzi wangu inaniwia ngumu sana sasa sijui ni mimi tu au hata nyie inakua hivyo hivyo . maana unaweza kukuta unae rafiki wa disign hiyo halafu...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
ni nini maamuzi yako hapo
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Baba X aliondoka nyumbani kwake miaka 7 iliyopita na kuambatana na nyumba ndogo yake,na kumwacha mkewe akiwa mjamzito miezi tisa na watoto wakubwa wawili, ,bila hata huruma,na hakuwa na...
6 Reactions
221 Replies
16K Views
Kama mnakumbuka kuna kijana aliniomba mtoko juma lileee lililopita, nikaja hapa kuomba ushauri wa kivazi cha kutupia. Nawashukuru saaana, maana kila aloniona alinisifu kuwa nimependeza, maana hata...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wananchi wenzangu.ebana,nina rafiki yangu wa kike{urafiki wa kawaida}ambae bahati mbaya ye hana bumu so anategemea kila kitu toka kwa wazazi wake,cha kushangaza huyu bidada...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kama umezoa kulala na mwanaume bila kumpenda jua wewe ni kahaba sasa basi kama unaishi na mume ambae umpenddi na unajua huna mapenzi yake rudi tu kwenye ukahaba muwachie nduguyo aendelee na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Sijui ni maisha au nini! Style za mahusiano siku hizi yanaenda kinyume nyume. Kijana(ME) anataka aliyemzidi umri(JIMAMA/SUGARMUMMY) ajitimizie mahitaji yake. Kijana(KE) anataka...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
hasira za mkizi hutuponza kujenga makusudio ya kulipiza kisasi..............................lakini hayo huwa ni kivuno cha mvuvi................kisasi humfunga mlenga kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi? Ni matumaini yangu wote mu wazima na wenye furaha tele. Niko kwenye mapenzi na mpenzi anayenipenda kwa dhati najisikia raha ya ajabu. Kupendwa ni raha sana hasa unaekupenda...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Inakuaje unamwambia msichana,nna gf wangu..lakini hakuelewi??..siongelei hapa jf,imetokea huyu mdada ananisumbua sana,sina amani.mpaka nikiwa na gf wangu naweka cmu silent.aggggggggggyyyyyyyyyyyy
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 35,proffesional nimeajiariwa. Natafuta partner aliyenizidi umri, mrefu , prefably 170 cms and above, mature,financial stable.
0 Reactions
81 Replies
9K Views
Kama mjuavyo ndoa za nyakati hizi zimekta tofauti kabisa na kipindi cha wazazi wetu na bibi na babu zetu.Ndoa za enzi hizi zimekua ni kama mbwembwe tu ila watu wengi hawadumu kwenye ndoa zao ,nini...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Sielewi kwa nini wazo hili limenijia kichwani ghafla sasa hivi, ila ngoja niwashirikishe! Nafikiria kama ningekuwa na uwezo wa kufanya mabadiliko ya system ya utendaji kazi wa akili, utu, upendo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kauli kama hii hutoka vinywani mwa wanaume wengi. Lakini, je, unajua ni kwa kiasi gani kauli hii huwa haina ukweli hata chembe? Huenda hujui kabisa, au inawezekana pia nawe ni mmoja kati ya wale...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Umri wangu ni miaka ishirini na mmoja. Wazazi wangu hawakuwahi kuoana wala kuishi pamoja kwani nilipokuwa conceived (wazazi) wangu walikuwa bado kwenye late teens, wakati huo wanafunzi. Katika...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Ndugu Wana JF, Jana baada ya kutoka safari, jirani yangu alinipigia simu akinieleza kuwa amekorofishana na mke wake na kuamua kuondoka nyumbani mpaka yule mke wake atakapoondoka nyumbani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natubu kwa MWENYEZI MUNGU NA KWA MKE WANGU, NAMWOMBA SANA ANISAMEHE. nilimwoa mke wangu nikiwa sina chochote na kwa msaada wake wa mawazo na msaada wa Mungu tulifanikiwa kujijenga...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Wapendwa uvaaji wa suruali huku shati umechomekea kwenye chupi ni sahihi? Kuna brazameni mmoja nilimwona kaulamba safi ila shati kachomekea kwenye chupi sasa bahati mbaya au nzuri ile chupi...
5 Reactions
24 Replies
5K Views
Kwenye mahusiano/ndoa watu hua wanapiga picha pamoja . . . kwaajili ya ukumbusho. Kwa wale mlioko facebook mnajua siku hizi hizo picha haziishi kwenye album makabatini tu na ukutani ila mpaka...
4 Reactions
106 Replies
9K Views
Back
Top Bottom