Marie Curie
Member
- Aug 7, 2011
- 23
- 3
Wapendwa wana jamii,hapa nilipo ni katika dilema,nina mme na watoto.Namshukuru sana Mungu kwa baraka zote alizonijaza,nilikuja kusoma ulaya nimemaliza nikapata kazi na resident permit yenye work permit.Sasa ngoma mme wangu amekataa kunijoin hata mimi namsupport since sitaki afanye kazi ambazo kwangu mimi hazifai.Sasa nifanyeje mwenzenu mie