MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Nimebahatika kuwa karibu na familia moja yenye mke(age 40's)+mme+watoto+wajukuu, mme ni mtu anayesafiri mara kwa mara mikoani. Ukaribu wangu kwao ukapelekea wakiface tatizo wanajaribu kuniomba kama ninauwezo nalo(mtoto na mjukuu wake waliumwa vipindi tofauti nikatoa msaada sio mara moja).mzee akiwa safarini akapewa(shangazi+mjomba wa mke) taarifa mimi natembea na mke wake! Ikapelekea akirudi anampiga sana mke wake na mzee kupunguza pesa ya matumizi. Siku 1 mtoto kaumwa kupelekea kulazwa, mme yuko safarini pesa ikawa imepelea, akamwambia mke aniombe mimi kiasi cha kujazia, bila iyana nikampatia.
Nikamwambia isije ikaendeza matatizo yenu.
Akajibu mzee atanirudishia.
Siku mme akapata muda kama miezi miwili kupumzika nyumbani, mida ya jioni akapigiwa simu na mjomba wa mke kuwa mimi nilikuwa nae mjini!mme kushanga muda aliotajiwa mke wake alikuwa nyumbani ndipo alipoanza kupata ukweli wangu kwa mke wake.
Akanitafuta siku 1 na kunieleza mambo meeengi pia kunirudishia laki 130 nilizotumia na nyongeza ya elfu 20. KUNIAMBIA WEWE NI KIJANA MWEREVU SANA SIKUWA NAELEWA. Tokea hapo tukawa zaidi ya rafiki naendelea kumpa heshima zote.
Mke+mtoto wakaenda kwa mjomba+shangazi kuwapiga kwa kuwachonganisha na mme/baba w/yake.
Mke akanifuata na kuniomba msamaha.
Cha ajabu anasema amepigwa sana kwa ajili yangu mimi kwa kosa la uongo anachotaka/analazimisha yeye kufanya mapenzi na mimi ili aridhike/kujipooza kwa machungu ya kipigo.
Anasema nitafute siku twende nae mjini kutafuta hotel(mida ya saa 5 hadi jioni ndo turudi)
nikamwambia mimi sitaweza kufanya mapenzi na wewe kwani itakuwa ni hasira unazo,endapo ametulia na mme wake ndo nitamkubalia.
Wadau huyu mke amening'ang'ania nifanye nae mapenzi.
Maswali: mahusiano yangu na mme wake yatakuwa kwenye hali gani?
Naweza kumkwepa vipi?
Mawazo yenu yataniweka katika upeo mwingine.
Incase kunatopic inayo-relate na hii unaweza kuniwekea link.
Msaada wenu wana MMU.
Nikamwambia isije ikaendeza matatizo yenu.
Akajibu mzee atanirudishia.
Siku mme akapata muda kama miezi miwili kupumzika nyumbani, mida ya jioni akapigiwa simu na mjomba wa mke kuwa mimi nilikuwa nae mjini!mme kushanga muda aliotajiwa mke wake alikuwa nyumbani ndipo alipoanza kupata ukweli wangu kwa mke wake.
Akanitafuta siku 1 na kunieleza mambo meeengi pia kunirudishia laki 130 nilizotumia na nyongeza ya elfu 20. KUNIAMBIA WEWE NI KIJANA MWEREVU SANA SIKUWA NAELEWA. Tokea hapo tukawa zaidi ya rafiki naendelea kumpa heshima zote.
Mke+mtoto wakaenda kwa mjomba+shangazi kuwapiga kwa kuwachonganisha na mme/baba w/yake.
Mke akanifuata na kuniomba msamaha.
Cha ajabu anasema amepigwa sana kwa ajili yangu mimi kwa kosa la uongo anachotaka/analazimisha yeye kufanya mapenzi na mimi ili aridhike/kujipooza kwa machungu ya kipigo.
Anasema nitafute siku twende nae mjini kutafuta hotel(mida ya saa 5 hadi jioni ndo turudi)
nikamwambia mimi sitaweza kufanya mapenzi na wewe kwani itakuwa ni hasira unazo,endapo ametulia na mme wake ndo nitamkubalia.
Wadau huyu mke amening'ang'ania nifanye nae mapenzi.
Maswali: mahusiano yangu na mme wake yatakuwa kwenye hali gani?
Naweza kumkwepa vipi?
Mawazo yenu yataniweka katika upeo mwingine.
Incase kunatopic inayo-relate na hii unaweza kuniwekea link.
Msaada wenu wana MMU.