Kwa kuwa hakuna mwenye majibu za moja kwa moja...!
Mim leo nakuja mbele ya wanajamii kuuliza..
Tena kila mtu kwa nafasi aliyonayo ndani ya jamii,yaani unaweza kuwa mzazi,mtoto au KIJANA...
VIJANA Ndiyo Aswaa...
Uwe wa KIKE au KIUME..
Kwanini Umeamua kuwa ma MAHUSIANO ya KIMAPENZI a.k.a KINGONO na zaidi ya msichana au mvulana mmoja...???
Ila kwa kuwa ni Ngumu sana mtu kuelezea hisia zake wazi,wazi..
2ambie basi hata sabasu ambazo rafiki yako wa karibu alikwambia zilimfanya awe na mpenz zaidi ya mmoja...
Mim leo nakuja mbele ya wanajamii kuuliza..
Tena kila mtu kwa nafasi aliyonayo ndani ya jamii,yaani unaweza kuwa mzazi,mtoto au KIJANA...
VIJANA Ndiyo Aswaa...
Uwe wa KIKE au KIUME..
Kwanini Umeamua kuwa ma MAHUSIANO ya KIMAPENZI a.k.a KINGONO na zaidi ya msichana au mvulana mmoja...???
Ila kwa kuwa ni Ngumu sana mtu kuelezea hisia zake wazi,wazi..
2ambie basi hata sabasu ambazo rafiki yako wa karibu alikwambia zilimfanya awe na mpenz zaidi ya mmoja...