Inapotokezea mke au mpenzi wako kukwambia anavyonifanyia fulani hujawahi kunifanyia.

Babylon

JF-Expert Member
Feb 5, 2009
1,332
82
Jalia Unamuhudumia kila anachokitaka kutoka A to Z ikatokea siku moja ukagunduwa kuna mtu anachovya asali uitunzayo ,katika kukabiliana nae mpenzi wako ili ujuwe ni kitu gani kilichomfanya achukuwe hatuwa ya kufanya kitendo hicho? katika majibizano yenu akatowa kauli na kusema mambo anayonifanyia yule jamaa wewe hujawahi kunifanyia,Jee utakuwa tayari uyajuwe hayo majambo ili uweze kumfanyia na kutunza penzi lenu?
 
Mama wee!
Tunaachana hapo hapo na amfuate jamaa wake aendelee kufanyiwa anachofanyiwa.

sasa hutopenda kujuwa nini hukifanyi ?inawezekana ni kajambo kadogo tu kama vile kukisi vidole vyake vyamikono NK.
 
Is obvious kuwa pressure itapanda na kushuka ila hata kama utampiga chini ni vema ujikaze upate kujua ni vitu gani ambavyo umeshindwa kumfanyia ila ukautumie huo uzoefu huko uendako.Inaweza tu kikawa kitu kidogo tu kuwa ubadilishe mtandao unaotumia huenda ni wa bei ghali madhali ni Voda uende tigo!!!!
 
sasa hutopenda kujuwa nini hukifanyi ?inawezekana ni kajambo kadogo tu kama vile kukisi vidole vyake vyamikono NK.

...kabisa bana, haya mambo ya kuogopa umande yaliwakosesha elimu wengi sana... unaulizia tu kilichozidi nini halafu nawe unatafuta mwanafunzi wako mpya...
 
Kama ni kweli jamaa ana mpa raha za dunia ambazo mie siwezi kumpa kinachomfanya asihamie hukohuko ni nini.Ingawa wadau wanasisitiza kujua hicho anachofanyiwa huko,lakini pia ningependa kujua kinachomuweka kwangu ni nini?Kwa kweli no matter what huo ndo utakuwa mwisho wa safari.Hawa viumbe huwa hawanipi tabu na ninamshukuru Mungu kwa kuwaumba wengi
 
Jalia Unamuhudumia kila anachokitaka kutoka A to Z ikatokea siku moja ukagunduwa kuna mtu anachovya asali uitunzayo ,katika kukabiliana nae mpenzi wako ili ujuwe ni kitu gani kilichomfanya achukuwe hatuwa ya kufanya kitendo hicho? katika majibizano yenu akatowa kauli na kusema mambo anayonifanyia yule jamaa wewe hujawahi kunifanyia,Jee utakuwa tayari uyajuwe hayo majambo ili uweze kumfanyia na kutunza penzi lenu?

Mazee hapo ni heartbreaking, hasa kama mwanaume unjisikia uko defeated and not good enough, lakini kama mwenzako anamegwa nje, lazima utahisi japo kwa mbali even before yeye kufikia hatua ya ku-disclose huyo wa nje.

Mie kwenye hilo nitajaribu kujua jamaa anavyofanya na nitatumia njia ya kuwa a better man with good time ili atoe siri zake [lakini moyoni ntakuwa tayari najiandaa kuachia mchuma], then ntajaribu kila hali nifikie ubora wa jamaa.

Siku atakapokubali nimefikia, then natosa mzigo kwani ile active search itakuwa inaendelea, hapa lengo langu ni kuonyesha kwamba ubora wa haya mambo hutokana na wote wawili ku-share hisia kila wakati na pia kumuonyesha machungu ya betrayals

Lazma ntamtosa, lakini itakuwa baada ya kuongeza mapenzi na kumuharibia huko nje
 
Inaweza tu kikawa kitu kidogo tu kuwa ubadilishe mtandao unaotumia huenda ni wa bei ghali madhali ni Voda uende tigo!!!!
ubadilishe mtandao unaotumia kama ni Voda pekee, uende tigo pia!!!!
 
sasa hutopenda kujuwa nini hukifanyi ?inawezekana ni kajambo kadogo tu kama vile kukisi vidole vyake vyamikono NK.
...Kwa nini asiniambie nimkiss vidole ili aridhike? wengi wetu huwa hatuwi wazi kwenye kutaka kuridhishana unataka iwe automatic kuwa mwenzi wako atajua yeye tu jinsi ya kukuridhisha mwisho wake ndio huu...Ni kosa.
 
Labda karatasi za talaka ziwe zimeisha.
Ni siku hiyohiyo kwao....shiiit!
Kwanini asitafute namna ingine ya kuwasilisha jambo hilo hadi a`refer kwa mpenzi wake...!
Siwez lea upumbavu babaake!
 
Is obvious kuwa pressure itapanda na kushuka ila hata kama utampiga chini ni vema ujikaze upate kujua ni vitu gani ambavyo umeshindwa kumfanyia ila ukautumie huo uzoefu huko uendako.Inaweza tu kikawa kitu kidogo tu kuwa ubadilishe mtandao unaotumia huenda ni wa bei ghali madhali ni Voda uende tigo!!!![/QUOTE]
You make my day!!
 
ubadilishe mtandao unaotumia kama ni Voda pekee, uende tigo pia!!!!


Huu ni uvunjifu wa maadili, na ni ulimbukeni wa kipumbavu sana ambao watu na akili zao wanaiga bila bila kuchuja na kujua madhara yake.

Pornography imekuharibuni sana ndugu zanguni.
Tumeingia kwenye hii teknoloji ya mitandao bila kujiandaa.

I hate every one who mentions the right words in opposite meanings.

Tigo itaendelea kuwa Tigo, na ni mtandao bomba.

Mshindiliwe na mlegee!!
 
Huu ni uvunjifu wa maadili, na ni ulimbukeni wa kipumbavu sana ambao watu na akili zao wanaiga bila bila kuchuja na kujua madhara yake.

Pornography imekuharibuni sana ndugu zanguni.
Tumeingia kwenye hii teknoloji ya mitandao bila kujiandaa.

I hate every one who mentions the right words in opposite meanings.

Tigo itaendelea kuwa Tigo, na ni mtandao bomba.

Mshindiliwe na mlegee!!
Now you are talking bra!! tigo ni mtandao bomba! abadilishe tu mambo yatakuwa safi.
 
Kama ni kweli jamaa ana mpa raha za dunia ambazo mie siwezi kumpa kinachomfanya asihamie hukohuko ni nini.Ingawa wadau wanasisitiza kujua hicho anachofanyiwa huko,lakini pia ningependa kujua kinachomuweka kwangu ni nini?Kwa kweli no matter what huo ndo utakuwa mwisho wa safari.Hawa viumbe huwa hawanipi tabu na ninamshukuru Mungu kwa kuwaumba wengi




eeehhh........tupo wengi lakini utakuta huyo ndio umefika mwisho wa reli.....
 
Jalia Unamuhudumia kila anachokitaka kutoka A to Z ikatokea siku moja ukagunduwa kuna mtu anachovya asali uitunzayo ,katika kukabiliana nae mpenzi wako ili ujuwe ni kitu gani kilichomfanya achukuwe hatuwa ya kufanya kitendo hicho? katika majibizano yenu akatowa kauli na kusema mambo anayonifanyia yule jamaa wewe hujawahi kunifanyia,Jee utakuwa tayari uyajuwe hayo majambo ili uweze kumfanyia na kutunza penzi lenu?


Jamani nimecheeeeeeka ..hivi kweli utataka ujue huwa anafanyiwaje kama anapewa kisamvu cha kopo na wewe utaamua kumfanyia mkeo ili asiend huko anakoenda

Kama anaona kule ndo kuko sawa basi talaka inamfaa ili aende huko apewe hicho anachokipata
 
Jamani nimecheeeeeeka ..hivi kweli utataka ujue huwa anafanyiwaje kama anapewa kisamvu cha kopo na wewe utaamua kumfanyia mkeo ili asiend huko anakoenda

Kama anaona kule ndo kuko sawa basi talaka inamfaa ili aende huko apewe hicho anachokipata

Aaaah wapi, mi lazima anieleze anachopewa ili nami nimfanyie nithibitishe. Akipatwa maruhani naongeza ufundi halafu nasepa. Naenda kuupeleka huo ufundi kwa wengine ili kulipa kisasi.
 
Huu ni uvunjifu wa maadili, na ni ulimbukeni wa kipumbavu sana ambao watu na akili zao wanaiga bila bila kuchuja na kujua madhara yake.

Pornography imekuharibuni sana ndugu zanguni.
Tumeingia kwenye hii teknoloji ya mitandao bila kujiandaa.

I hate every one who mentions the right words in opposite meanings.

Tigo itaendelea kuwa Tigo, na ni mtandao bomba.

Mshindiliwe na mlegee!!
Nadhani ilivyoandikwa ni vivyo hivyo. Tigo ni tigo na voda ni voda. Yote ni mitandao na yanafaida zake na hasara zake na pia zina uhusiano fulani fulani, yanalandana ktk mambo fulani.
 
...Kwa nini asiniambie nimkiss vidole ili aridhike? wengi wetu huwa hatuwi wazi kwenye kutaka kuridhishana unataka iwe automatic kuwa mwenzi wako atajua yeye tu jinsi ya kukuridhisha mwisho wake ndio huu...Ni kosa.

Mkuu huo ulikuwa ni mfano tu wa kukisi vidole,kuna mengi wasichana wetu huyatamani lakini huogopa kutuliza kwa kuhofia tutakasirika na kuwa karipia moja wapo likiwamo scoope diving .
 
Aaaah wapi, mi lazima anieleze anachopewa ili nami nimfanyie nithibitishe. Akipatwa maruhani naongeza ufundi halafu nasepa. Naenda kuupeleka huo ufundi kwa wengine ili kulipa kisasi.

Wewe mbona una roho ya kifisadi kabisa (fisadi wa penzi sio wa EPA)
 
Back
Top Bottom