Ukikutana na watu wanakimbia huku wanalia na wewe unajiunga nao huku unawauliza wanakimbia nini au unawasimamisha wasikimbie ili wakuambie kinachowakimbiza au unaendelea kwenda kule ambako wao...
Hello JF,
Naomba kueleweshwa hii kwa niaba ya rafiki yangu ambae ana mtoto mchanga wa miezi mitatu mmewe anamwambia kuwa wamzibue mtoto masikio. Je ni kweli huwa masikio ya mtoto yameziba? na ku...
Nategemea kuanza maisha ya ndoa hivi karibuni,nahitaji mafundisho ya Ndoa jinsi ya kuishi na mwanamke kila mtu kwa jinsi anavyojua yeye,unaweza kunitumia notes,kuni PM,kunipa websites na blog na...
Jamann...
Mie mwenzenu umri unakaribia kunitupa...sasa nahitaji wife wa kuishi nae ..
Yeyote mwenye contacts za msichana mzuri, tall, midweight (60-70kgs), any natural colour, educated ani PM...
Bila shaka JFs wote mu buheri wa afya. Wahenga waenziwe kwa msemo wao wa mficha uchi hazai. Mwenzenu najivua gamba baada ya kumpata diaresti ambaye nilimsaka kupita foramu hii ya jamii. Nilipata...
Napata wakati mgumu ninapokutana na email kama hii,hasa kwenye sparm.Hawa watu ni wakweli au?
Dearest one,
I am more than happy to read your reply to my mail, How is your day?i hope you...
Sio mimi jamani nasikiliza redio ya mama rwakatare watu wanasema shida zao ili waombewe
kuna dada anaitwa katherine wa tegeta anaomba maombi yenu ameporwa mchumba wke na
binti wa kichaga msilamu...
Unaingia bar ukiwa mpole, mstaarabu na adabu zako zote. Tena kumbuka umetoka kwako kwa heshima kuwa baba kaenda matembezini, ofisini kwako mchana uliondoka kwa adabu zote kama boss. Hapo bar...
Mimi ni kama mkimbizi nyumbani kwangu. Kabla ya kuoa, nyumbani kwangu kulikuwa ndio kimbilio baada ya mihaingaiko yangu ya kutwa nzima, lakini tangu nimuoe mke wangu huyu ambaye nimedumu naye kwa...
Mimi ni mwanaume wa miaka 30. Ni mrefu kiasi cha 5' 9'. Nina umbo la kispoti. Nina elimu ya graduate. Nina busara na nimeokoka. Ni mwaminifu. Natafuta mchumba wa kumwoa mwenye sifa mzuri. Naomba...
Ni ushauri tu kwa akina dada:
Leo nikiwa njiani kuelekea kwenye deiwaka kulitokea jambo ambalo kidogo ni la kusikitisha.
Akiwa kwenye daladala ambayo ilijaza kupita kiasi dada mmoja alianguka...
Kuna wamama wengi tumekuwa kimya sana na wengi wamekuwa kimya sababu
awataki kujua jukumu lao...baibo inasema wanawake watawalinda mumewe
wewe kama mke umemlindaje mumeo??ujawahi kukesha hata...
Mi nahitaji mchumba kutoka Rwanda.
Awe na sifa zifuatazo
1. Mcha Mungu
2. Anafahamu Kinyarwanda na lugha nyingine yoyote inaruhusiwa ingawa Kinyarwanda kitapewa kipaumbele.
3. Miaka 21-23...
Na Mwandishi wetu
KATIKA gazeti la Uwazi, toleo la wiki iliyopita tulitoa habari za mtoto Mustafa Ally, 12, (pichani), mkazi wa Mtoni Mtongani, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam...
He's got his knickers in a twist: Brazilian councillor proposes law demanding brides wear underwear when they marry
Some brides believe their marriages will last longer if they go knicker-less at...
Nionavyo mimi ni busara tutumie jukwaa hili kuelimishana mambo ya msingi ya maisha badala ya mizahaa na mambo yasiyo ya kujengana,tuzungumze mambo ya kiroho na mwili pia ili mradi msomaji ajegwe...
Wakuu wa Jukwaa,
Heri ya Mwaka Mpya 2012.
Kuna Mwanaume ambaye ametokea kunipenda sana, nami nampenda sana ingawa hatujafikia hatua ya mahusiano ya kimwili. Napenda kumwita A.
Kinachonitatiza...
.jpg"]...nisaidieni mawazo wanandugu.
Baina ya kipato na familia kwa mtazamo wako, kipi unakipa uzito mkubwa kuliko kingine?...
...kabla wenye muono 'tofauti' hamjanitoa jicho, kipato namaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.