Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Leo nimepanda daladala asubuhi wakati nakwenda kibaruani, bahati mbaya nikakosa siti nikawa nimesimama pembeni yangu kulikuwa na mdada ambaye alikuwa amekaa, kwa kuwa gari ilikuwa fupi nikawa nimeinama kuangalia chini kwa yule dada.
Kwa kweli view niliyoipata nilikuwa natamani daladala isifike hara na foleni ziongezeke kwani mdada alikuwa na blauzi zile za kuachia sehemu kubwa ya matiti yake nje na kwa hakika alikuwa amejaaliwa kifua cha kutamanisha.
Yule dada baada ya kugundua mimi nakula raha (naona baada ya kuona mabadiliko kwenye suruali) akaanza kuhangaika mara kaweka bahasha kifuani mara kaanza kuinama na sura yake ikawa inaonekana hayupo konfotabo kabisa, nikaanza kujisikia giliti (vibaya) kwa kumkosesha raha dada wa watu.
Sasa napata maswali hivi mdada huwa unajisikiaje midume ikiangalia matiti yako kwa kuyatamani? Hivi huwa mnayachukulia matiti kama sehemu ya utupu katika miili yenu? Hivi mbona wengine wanaweza kunyonyesha mbele za watu?
Kwa kweli view niliyoipata nilikuwa natamani daladala isifike hara na foleni ziongezeke kwani mdada alikuwa na blauzi zile za kuachia sehemu kubwa ya matiti yake nje na kwa hakika alikuwa amejaaliwa kifua cha kutamanisha.
Yule dada baada ya kugundua mimi nakula raha (naona baada ya kuona mabadiliko kwenye suruali) akaanza kuhangaika mara kaweka bahasha kifuani mara kaanza kuinama na sura yake ikawa inaonekana hayupo konfotabo kabisa, nikaanza kujisikia giliti (vibaya) kwa kumkosesha raha dada wa watu.
Sasa napata maswali hivi mdada huwa unajisikiaje midume ikiangalia matiti yako kwa kuyatamani? Hivi huwa mnayachukulia matiti kama sehemu ya utupu katika miili yenu? Hivi mbona wengine wanaweza kunyonyesha mbele za watu?