kila nikiingia humu mmu nakuta post mbili au tatu ndo watu wanaoeleza mambo mengine zaidi ya natafuta. Ila zilizobaki wao wanatafuta tu. Sasa waliopata inakuwaje mbona hamleti feedback na pia...
Sihitaji mada yangu ihamishiwe kule love connect. Hapa inatosha. Kimsingi upweke unanitafuna sana. Katika umri wangu wa miaka 34 sijawahi kuwa na mwenza niseme huyu ni wangu japo kwa mwaka...
Habari ya asubuhi wadau
Leo ningependa ku share nanyi kisa kilicho mkuta kaka yangu.
Mnamo mwishon mwa mwaka jana kaka yangu aliugua. Na kipidi hicho mkewe na mtoto wake mwenye umri wa miaka...
Unakuta mwanaume anajitahidi kumjali msichana wake kwa kila hali,kuanzia pesa nk,bt mwisho wa cku unaishia kwa mwanaume kulambwa kibuti kitakatifu..jaman wadada,mtuonee huruma.
Nimekaa sehemu najaribu kuifukuza wikiendi. Mara anatokea mama mmoja mtu mzima hivi takribani wa miaka 50. Japo amekwenda age lakini anaonekana amenona pengine kutokana na matunzo. Akakaa karibu...
I miss you
. . . . . . . . . .I really do.
When the day ends ; the sunshine fades away.
The darkness comes running; without a warning.
I try to close my eyes , as to hide my sorrow. .
But the...
Tumeshazoea kusikia watu wakiambiwa "Usiusemee moyo wa mwenzio" pale hisia za kimapenzi (kupenda) zinapokua zinahusika. Na hiyo kauli kama wengi tunavyojua hua inamaanisha kwamba hakuna anaeweza...
nimemwonyesha mapenzi eti ananiita mhuni ..wakati kayataka mwenyewe ..anadai kuna mtu kanifundisha ..eti nilikuwa na mademu wengi ..eti ninapenda mademu ...
kisa nimemuonyesha...
Sijui ndio uzee wenyewe au ni mimi tu. Zamani (sasa hapa msianze kuniuliza zamani ya lini) watu walikuwa wanazungumza mambo ya mapenzi kwa staha, heshima, na kujali nani anasikiliza. HIvyo, kuna...
Poleni na majukumu ya kulisukuma hili gurudumu la MMU hope ni siku kibao hatuonani but niko pamoja na nyinyi kimawazo japo sionekani humu napenda kuwaeleza nawapenda ninyi nyoote pamoja sana
Dudley Poston, a professor at Texas A&M University, is fascinated by China's "demographic exceptionalism." The country has the world's largest population, and in the 1970s managed to achieve...
Msaada wenu tafadhli maswhba,mimi nko chuo mwka wa 2,kisa chngu kiko hvi.mwka huu walvokuja mwka wa1 alitkea mdada hv akatokekunipenda,uyu mdada ni mcha mungu sna,kutkana na mapnz alokua nayo na...
It is easier to tell a girl friend AMA Kimeo kingine that" I love you" than a wife!! Hayo maneno ni magumu kuyatamka kwa demu uliyepigana Naye mikasi in men's perspective kwanini? I love you...
Nimefanya utafiti kuhusu wanawake wengi kwende inje ya mahusiano/ ku cheat waume zao ni kagundua kwamba sababu kubwa ni kukosa sexual satisfaction ingawaje hua hawasemi, lakini hilo ni tatizo...
wana jf kuna kitu nakikosa kwenye huu ulimwengu wa mapenzi kutoka kwa wanawake anything i do for her but i mc the real love nimejivua gamba sasa nimeamua kuwa alone for a while
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.