Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

kila nikiingia humu mmu nakuta post mbili au tatu ndo watu wanaoeleza mambo mengine zaidi ya natafuta. Ila zilizobaki wao wanatafuta tu. Sasa waliopata inakuwaje mbona hamleti feedback na pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
@geneva of Africa, baba mngoni, mama mchagga
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Sihitaji mada yangu ihamishiwe kule love connect. Hapa inatosha. Kimsingi upweke unanitafuna sana. Katika umri wangu wa miaka 34 sijawahi kuwa na mwenza niseme huyu ni wangu japo kwa mwaka...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
Habari ya asubuhi wadau Leo ningependa ku share nanyi kisa kilicho mkuta kaka yangu. Mnamo mwishon mwa mwaka jana kaka yangu aliugua. Na kipidi hicho mkewe na mtoto wake mwenye umri wa miaka...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Unakuta mwanaume anajitahidi kumjali msichana wake kwa kila hali,kuanzia pesa nk,bt mwisho wa cku unaishia kwa mwanaume kulambwa kibuti kitakatifu..jaman wadada,mtuonee huruma.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimekaa sehemu najaribu kuifukuza wikiendi. Mara anatokea mama mmoja mtu mzima hivi takribani wa miaka 50. Japo amekwenda age lakini anaonekana amenona pengine kutokana na matunzo. Akakaa karibu...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
I miss you . . . . . . . . . .I really do. When the day ends ; the sunshine fades away. The darkness comes running; without a warning. I try to close my eyes , as to hide my sorrow. . But the...
7 Reactions
116 Replies
7K Views
Tumeshazoea kusikia watu wakiambiwa "Usiusemee moyo wa mwenzio" pale hisia za kimapenzi (kupenda) zinapokua zinahusika. Na hiyo kauli kama wengi tunavyojua hua inamaanisha kwamba hakuna anaeweza...
6 Reactions
56 Replies
4K Views
Hi guys! I need someone to Love. Thanks....PM me please!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nimemwonyesha mapenzi eti ananiita mhuni ..wakati kayataka mwenyewe ..anadai kuna mtu kanifundisha ..eti nilikuwa na mademu wengi ..eti ninapenda mademu ... kisa nimemuonyesha...
4 Reactions
99 Replies
11K Views
I am looking for
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Sijui ndio uzee wenyewe au ni mimi tu. Zamani (sasa hapa msianze kuniuliza zamani ya lini) watu walikuwa wanazungumza mambo ya mapenzi kwa staha, heshima, na kujali nani anasikiliza. HIvyo, kuna...
8 Reactions
119 Replies
11K Views
Poleni na majukumu ya kulisukuma hili gurudumu la MMU hope ni siku kibao hatuonani but niko pamoja na nyinyi kimawazo japo sionekani humu napenda kuwaeleza nawapenda ninyi nyoote pamoja sana
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Love is timeless.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Dudley Poston, a professor at Texas A&M University, is fascinated by China's "demographic exceptionalism." The country has the world's largest population, and in the 1970s managed to achieve...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Msaada wenu tafadhli maswhba,mimi nko chuo mwka wa 2,kisa chngu kiko hvi.mwka huu walvokuja mwka wa1 alitkea mdada hv akatokekunipenda,uyu mdada ni mcha mungu sna,kutkana na mapnz alokua nayo na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
It is easier to tell a girl friend AMA Kimeo kingine that" I love you" than a wife!! Hayo maneno ni magumu kuyatamka kwa demu uliyepigana Naye mikasi in men's perspective kwanini? I love you...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Hivi mumeo/mkeo anaweza kuwa rafiki yako katika mitandao ya kijamii hasa facebook? Kumbuka mnaishi wote nyumbani.
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimefanya utafiti kuhusu wanawake wengi kwende inje ya mahusiano/ ku cheat waume zao ni kagundua kwamba sababu kubwa ni kukosa sexual satisfaction ingawaje hua hawasemi, lakini hilo ni tatizo...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
wana jf kuna kitu nakikosa kwenye huu ulimwengu wa mapenzi kutoka kwa wanawake anything i do for her but i mc the real love nimejivua gamba sasa nimeamua kuwa alone for a while
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom