Dear Miss Judith,
Nimesukumwa na upendo mwingi wa dhati uliojaa furaha kukuandikia waraka huu mfupi kukupongeza na kukutakia heri ktk maisha yako mapya ya ndoa unayokaribia kuyaanza hivi...
Ninapoona jinsi wakina dada zetu walivyogundua jinsi ya kutuondoa stress za ugumu wa uchumi kwa kuyabana na kuachia nje machakula yaa watoto. duh mwenzenu huwa napenda sana na nikikutana na mdada...
Katika mahusiano zile nafasi watu wanazokua nazo (mchumba,mpenzi,mke,mume) hua zina kutambulika ama kutotambulika, kukubalika ama kutokubalika, kupendwa ama kutokupendwa n.k Hayo ndio hua...
Wakuu, heshima mbele,
Najuta sana kumtafuta partner humu JF yani pamejaa usanii hapa usipokuwa mjanja kama mimi unalizwa hivi hivi unajiona.
Kipindi kile nilikuja na swala la kutafuta mchumba...
Natafuta mwanamke ambaye tutakuwa na uhusino wa siri. awe na umri kuanzia miaka 20-45. mwembamba au mnene. lakini ambaye anajiheshimu na kuheshimu uamuzi wangu wa
kufanya uhusiano wa siri na si...
Najua mwezi uliopita ulikua ni mwezi wa majukumu_kwa maana hiyo mifuko kidogo imepwaya,...ila si vibaya tukitakiana week end safi.
Week_end njema wakuu.
Wakati huu wa sikukuu ya wapendanao mambo mengi hutokea. Mapenzi mapya huzaliwa, wapenzi wa zamani hugombana ma wengine husameheana. Kwa siku kumi na tano TAYOA itakuwa ikikupa namna nzuri na...
I want to delete this man permanently in my heart and my life. Nipeni ushauri, nifanyeje? Nikutanapo na ndugu, jamaa na rafiki zake ambao tulizoeana nao sana, nashindwa kumsahau na ninatonesha...
Kumbe ukiondoa style ya mzungu wa tatu, kuna mitindo mingine nayo ina maana nyingi katika mahusiano. Hebu jionee mwenyewe pamoja na maelezo yake ktk link hii: What your sleeping position says...
watu wengi wamekalili kukiss ndio moja wapo ya kukuamasisha kufanya mapenzi,lakini si kweli unaweza ukakaa na mpz wako mkakiss bila kufanya mapenzi.lakini kwa baadhi ya wabongo hawawezi.
Ni wiki ya tatu sasa tangu aende kwao kuwaona wazazi wake hajarudi, na nikimpigia simu ananipiga saundi. Mimi uzalendo utanishinda nitamfuate huko huko maana hawa wanaonitega na Skin Jinzi...
Wana JF,
Kuna jamaa yangu mmoja anaomba ushauri wa kiafya na kisaikolojia.
Yeye ni mwanafunzi wa Masters, na analalamika kwamba mwalimu wake anamsumbua sana.
Siku za hivi karibuni anadai amekuwa...
Mkuu wa kituo cha Polisi Kiteto, amempatia kipigo mwanaume hadi kumvunja mkono mwanaume huyo. Kituoko hicho kilitokea wakati mke alipoenda kumuona mkuu wa kituo, eti kushtaki mumewe hataki kumpa...
UTAFTI mpya umebaini kuwa nusu ya wanaume nchini ni wagumba ukipingana madai ya wengi kuwa tatizo hilo linawaathiri zaidi wanawake.
Kwa mujibu wa utafiti huo, uliofanywa na Chuo Kikuu cha Tiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.