Nimefanya utafiti kuhusu wanawake wengi kwende inje ya mahusiano/ ku cheat waume zao ni kagundua kwamba sababu kubwa ni kukosa sexual satisfaction ingawaje hua hawasemi, lakini hilo ni tatizo kubwa kwa wanaume wa leo na nadhani inatokana zaidi na aina ya vyakula ambavyo tuna kula.
Mtu kashindia chips mayai siku nzima akitoka kazin ana shushia beer nne akifika home ubwabwa maharage na baada ya hapo the big game inaanza round mbili tu hoi bin taban. Wakati mwanamke ndo kwanza anaanza kuwa stimulated at times wengine wana ejaculate bila mwanamke kujua anashanga tu jaama kanywea na kuulizwa umemaliza na bila aibu na jama anajibu ndio.
Wakati babu zetu wlikuaga bala kweli kweli kutokana na vyakula ulivyokua wanakula (mfano fresh fruits kwa wingi bila preservatives kutoka kwenye miiti direct) sasa wenzagu tufanye jee kurudisha Hadhi ya kiume?
Pia naomba mwenye uelewa zaidi atuahinishie vyakula specifically vya kula illi turudishe hadhi ya kiume Karibuni tujadili
Mtu kashindia chips mayai siku nzima akitoka kazin ana shushia beer nne akifika home ubwabwa maharage na baada ya hapo the big game inaanza round mbili tu hoi bin taban. Wakati mwanamke ndo kwanza anaanza kuwa stimulated at times wengine wana ejaculate bila mwanamke kujua anashanga tu jaama kanywea na kuulizwa umemaliza na bila aibu na jama anajibu ndio.
Wakati babu zetu wlikuaga bala kweli kweli kutokana na vyakula ulivyokua wanakula (mfano fresh fruits kwa wingi bila preservatives kutoka kwenye miiti direct) sasa wenzagu tufanye jee kurudisha Hadhi ya kiume?
Pia naomba mwenye uelewa zaidi atuahinishie vyakula specifically vya kula illi turudishe hadhi ya kiume Karibuni tujadili