afu miaka 18, wewe una miaka mingapi
nitafikisha 18 april 1.
ni tetesi hizi mkuu usikomae sana.
am siriaz hapa
unaona Lizzy anaanza kunipiku
teh teh , lizy nimesema kuwa 1st we date & date then if we both agree that our chemistry much then we marry. i wonder when u will be ready 4 our 1st date?Mimi hapa nichukue. . I'M SERIOUS.
teh teh , lizy nimesema kuwa 1st we date & date then if we both agree that our chemistry much then we marry. i wonder when u will be ready 4 our 1st date?
Unataka tushindane?Looser atakua mpishi kwenye shughuli.
teh teh , lizy nimesema kuwa 1st we date & date then if we both agree that our chemistry much then we marry. i wonder when u will be ready 4 our 1st date?
Dear john
nina miguu mizuri kama chupa ya bia
nina macho mazuri ya mviringo
nina pua kama ya Rejao
lina lips kama za belinda jacobs
nina saa 6 kasorobo
kiuno nyingu
shingo ya almasi urefu wa twiga
nywele kama hariri
sauti yangu kama naimba
Lakini Lizzy, hamna kitu
miguu spoko kabisa
Embu kwenda huko. . .swit hat John
ujue mie nimekupa promo
hebu nichukue
ukibeep napiga
niko tayari saa hivi
Mbona mmemng'ang'ania sana kijana wawatu?
Mbona mmemng'ang'ania sana kijana wawatu?
mkuu, unaonaje kama ukileta panga tumpasue katikati ili kuepusha huu mgogoro? Lol
Hahaha. . . John akikuchukua utamnyanyasa sana hizo sifa zako.
John njoo kwangu. . . najua sio mzuri kiviiiiile kwahiyo ntatulia sana ukinikubali nilivyo. Konnie ni wale waliozoea kuosha sura kwenye TV. . .kesho na keaho kutwa hata kukupikia atakwambia hawezi maana hakuumbwa mzuri ili afanye kazi.