mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
Nimekaa sehemu najaribu kuifukuza wikiendi. Mara anatokea mama mmoja mtu mzima hivi takribani wa miaka 50. Japo amekwenda age lakini anaonekana amenona pengine kutokana na matunzo. Akakaa karibu ya meza niliyokaa mimi.
mavazi sasa...!
Amevaa kipedo cheupe chepesi...basi nguo ya ndani yote ipo nje...na jinsi alivyoumbika yaani ni balaa tupu.
Yaani nililewa japo nilikuwa ndo kwanza naanza na kabia ka kwanza.
Yaani nikimkumbuka yule mama, nabaki wima.
mavazi sasa...!
Amevaa kipedo cheupe chepesi...basi nguo ya ndani yote ipo nje...na jinsi alivyoumbika yaani ni balaa tupu.
Yaani nililewa japo nilikuwa ndo kwanza naanza na kabia ka kwanza.
Yaani nikimkumbuka yule mama, nabaki wima.