Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Zamani saana nilikuwa natazama sana filam za kihindi..... filam hizi zilikuwa na mambo meengi mno yanayofanana na maisha yetu ya kitanzania na mafunzo tele.... sasa kuna filam moja naikumbuka...
10 Reactions
241 Replies
14K Views
Mimi najiulizaga hivi mwanamke asipofanyiwa sherehe kitchen party hawezi kuwa mke mwema kwa mmewe. Maana siku hizi kwenye kitchen party kuna misemo kama vile ''sufuria haikai kwenye figa moja'' au...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Unapoingia kwenye mahusiano "BEING INLOVE" pekee haitoshi kufanya mahusiano yaendelee kuwepo huku wote mkiyafurahia. Kuna vitu ambavyo ni muhimu viwepo ili mtu asiboreke na wewe, asikuchoke...
19 Reactions
126 Replies
9K Views
Hiki kituko kimetokea juzi Kiteto. Eti walimkamata mwenzao wakataka kwenda nae porini kumuadhibu, kisa kawatahiri watoto wake hospitali kwa kutumia ganzi, badala ya ile mila yao-ambayo ni kama...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mamboz wanajamvi... Huu uzi nimeupata kwenye forum moja hivi nikaona ni bora tushee wote ili tuone imekaaje. Kuna walicomment kwamba kuwa na mtoto kabla ndoa ni u.m.a.l.a.y.a. Samahani kwa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Wapendwa...yani nashindwa hata nielezeje. Ni furaha na faraja iliyoje mliyonipatia leo. Yani nimefurahi na kufarijika saaanaa tena saaanaa...... Mungu awabariki na kuwalipa mbadala.
0 Reactions
37 Replies
2K Views
ushawahi kupigwa na mkeo/gf wako? How did you react? Ulilipiza?uliuchuna? Ulimfungulia RB?uliita kikao cha wazazi? Ulifanya nini? Ninalogoff maana leo nimetendwa and i just can't take it na...
2 Reactions
216 Replies
11K Views
Kuoa na kuacha au kuolewa na kuachwa ni mambo yasiyoweza kwenda kimya ndani ya nyumba. Mme anapoacha na kuoa tena, na mke anapoachwa au kuolewa tena, mara nyingi huwa na maneno au kauli...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Kuna watu wengi wamekosa amani kutokana na kusubiri kuombewa ama kusaidiwa katika mbali mbali kuna wakati akuna kitu kizuri kama kujua adui wako anakupiga silaha hii na mie lazima nitumie silahaa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau nimeongea na baadhi ya wanandoa na kwa kiwango kikubwa wanawake wamekuwa wakiwatupia lawama wanaume kwamba si wavumilivu na waelewa inapokuja suala la KUJAMIANA,wanaume wakihitaji ngono...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kudeka ni tabia ya mtu kutaka kupata kila anachokitaka kwa wakati anaotaka, kufanyiwa kila kitu bila kujishughulisha sana, kubembelezwa kila wakati na kutoambiwa kwamba amekosea. Mtu anayedeka pia...
2 Reactions
30 Replies
7K Views
Wanajamvi naomba kuelimishwa/fahamishwa juu ya hili. Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 26.Nimekaa zaidi ya 8 yrs bila kufanya mapenzi.Lakin kwa sasa ninampango wa kutafuta msicha wa kuoa.Mim...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Nimegundua kuwa "magwiji" wa mmu wana id zaidi ya moja...wengine mbili, tatu, nne hata tano na kuendelea. Na kila moja ina matumizi yake. Kuna ile ya "ugwiji" hii wanaitumia pale wanapoona wana...
6 Reactions
90 Replies
6K Views
Hali zenyu bhana! Hope hamjambo wanajamii wenzangu. mimi ni ke nina b/f wangu yupo mkoani. To be honestly ninampenda jamani. Tatizo ni kwamba yeye haoneshi kama ananipenda. Naweza m-call hata cku...
4 Reactions
133 Replies
12K Views
Inanisumbua kichwa wadau ;ni kipindi cha zaidi ya miezi tisa nimefahamiana na dada mmoja. Tulikutana arusha nilikenda kumtembelea mama yangu mdogo maeneo ya njiro karibu na chuo.kilicho pelekea...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habar wapenz, jaman nina mpenzi tena tuna miaka 4,ambaye kwa wazaz wangu anafahamika na kwe2 pia anafahamika, umezuka ugomvi bila sababu eti anataka password za email yangu kwa nguvu kwa lazima...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Mie ni mwanaume! Nahitaji lesbian wa kunifundisha romance! I am very poor kumprepare mwanamke kabla ya tendo la ndoa! Naamini nikimpata lesbian anaweza kunisaidia practically! Bei kuanzia laki...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Habarini wana JF Kuna wakati vijana wanapoingia kwenye mausiano na hasa wote wakiwa wasomi huwa very "optimistic" sana na hudhania mambo mengi mepesi kumbe sio uhalisia mwanaume na mwanamke wote...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Nilikua nasoma utafiti mmoja kwenye jarida moja hivi la Zimbabwe,utafiti huo unadai kuwa wanawake wanapokuwa katika zile nyakati ambazo akikutana kimwili na na mwanaume anapata mtoto huwa wanakuwa...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Kuna mtu aliye karibu na first family kaniambia kuwa Bi Mkubwa - First Lady amejifungua hivi karibuni, lakini suala zima linafanywa siri sana. Mimi nimeshangaa kwani sijawahi kumuona akiwa mja...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Back
Top Bottom