Wakuu Wana JF, Salaam!
Nimejaribu kuangalia kama hii mada ilishaletwa hapa lakini sikuona inayolingana nayo. Ikiwa ipo tayari samahani kwa kuirudia.
Huwa ninatatanishwa na dhana ya WIVU katika...
Kuna jamaa mmoja alitaka kuoa, hivyo akamuomba rafiki yake amtafutie mchumba. Rafiki akamtafuta msichana ambaye ametulia iel mbaya, asiyependa makuu na wala hakuna mtu aliyekuwa akijua sifa zake...
Naelewa kuwa mna mahitaji ambayo kidogo yamepita ye2.
Naelewa pia kuwa kila m2 anatakiwa awazie kwa maisha yake jinsi gani atakavyojipatia mahitajiyake.
Ila sasa naona ndugu zangu mna tamaa 2much...
habarini wanajf, let asume wewe ni msichana ulianza uhusiano na kijana miaka 10 iliyopita means kwanzia secondary, wakati mnaanza urafiki alikulazimisha sana mnaniii ......lakini ukakataa ukiogopa...
Ndugu wanajamvi kama tusikitikavyo tukiondokewa na mwenzetu basi tusherekee pale mwana JF anapopata ubavu. Mwana JF mmoja aitwaye Kuberwa anatarajia kuolewa mapema mwaka huu so siku ya Arusi...
Wasalaam!,
Sitaki kukupotezea muda mwingi naomba sana munisaidie shida yangu hii kwani nahisi dunia yote nimebaki peke yangu!!. Kifupi mimi ni kijana wa miaka 29 na nimesoma mpaka chuo kikuu,japo...
Tall men seem sexier to women and more likely to father their children, in turn tall men find smaller women more attractive, the taller men are, the more likely they are to have found a mate and...
nauliza kwasababu mm mwenyewe nmeulizwa ila nmeona niwashilikishe na wana jf wenzangu,naomba michango yenu,kama haujaelewa ni ipo ivi,mfno ww mpz wako anakwambia kila anachokifanya may be amenunua...
Kuna kesi moja iliwahi kuripotiwa nchini Marekani, Novemba 1996, inayomhusu mama mmoja aliyeshitakiwa kosa la uzembe na utesaji wa mtoto wake wa kike aliyekuwa na umri wa miaka 13, aliyefariki...
Kila mwanamke ameumbwa na hulka ya kuamini kuwa ana sifa ya uzuri. Hivyo basi wanawake tunaamini kwamba uzuri huo unaonenaka kwa nje kupitia mivuto.
Mivuto hiyo huwavuta wanaume wengine...
Mamboz! Naombeni ushauri juu ya hili……. Juma na Asha ni wapenzi, Juma anafanya kazi Mkoani Dodoma, Asha anafanya kazi Mkoani Tanga. Sasa kuna rafiki yake ya Asha anatarajia kufunga...
Inbox ya Mwanamke ina meseji nyingi za namna hii...
I love u (Dany) ...........
Hi babe.....
(smjui)MPESA BKX556 CONFIRMED YOU HAVE RECEIVED SH.80,500 FROM MIKE JOHN
can I take u out...
Wana JF nimeona nisikae kimya bila kuwajuza wema wa Mungu kwangu.
Najua wengine mtakuwa mmevaa kijani/njano kusherekea "chama chetu cha mapinduziiii chajenga nchi" (itikia ni wimbo) huku wengine...
Wale washauri nasaha, na wanasaikolojia wanaotoa huduma ya ushauri katika kituo cha MARINATHA mjini morogoro wameamua sasa kufungua chuo maalumu kwa ajili ya kufundisha mambo ya mapenzi kwa vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.