Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hali zenu wanajamvi, huwa ninajiuliza kila siku. Kipi bora kati ya haya. Kuoa/kuolewa na mtu ambaye ana experience katika mapenzi au asiye na experience. Nikimaanisha kwamba mtu ambaye alishawahi...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Umepata msichana miezi mitatu nyuma, mmependana naye sana na ana kila sifa unayoitaka. Kuanzia umpate mambo yako yananyooka sana, unapata hela katika mazingira ya kutatanisha sana. Mara ukute...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Naomba kufahamishwa, kuwaninii ?waume wengine waoapo wake wanawaacha kwa wakwe au kwa wazazi wake mke?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
A five year old boy who rejected his gender is now living as a girl with the support of his family, doctors and school. Zach Avery was three when he started questioning his gender, and began...
0 Reactions
3 Replies
838 Views
Jamani mwenzenu kuna beki3 mmoja namzimia kinomanoma,yani amemfunika hata mpenzi wangu hebu mnishaurini.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Rafiki yangu ni mlemavu wa viungo. Kuna kipindi alikuwa vibaya kiuchumi, and that time wadada wengi walikuwa wanamkataa alipowatongoza. Mungu mkubwa akatokea mdada ambae alimpenda sana pamoja na...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Namtafuta rafiki yangu nimepotezana naye kama miaka miwili hivi na kwa bahati mbaya namfahamu huyo rafiki yangu kwa jina moja tu, sijui anapoishi ingawa yupo dar na alishawahi kunielekeza kwake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni kijana mstaarabu,kakutana na binti mrembo wa haja,kwa vipimo vyake,anamuona kuwa aweza kuwa mke mtarajiwa.Kijana anamdokezea ombi lake,binti anasema hana pingamizi ila,anaye rafiki ila ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
habari ndugu, mimi ni kijana wa kume ninaye tafuta binti ambaye twaweza kushabiiana na kupatana vyema kisha tujenge family ABOUT ME: Umri:29 kabila:mjaluo/mmasai Kazi:mwajiriwa Rangi:mweusi japo...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Nikikishavaa viatu vya PSI, nashindwa kabisa kucheza mpira kiasi ambacho wakinadada wa mtaani kwangu, wamenitangaza kuwa si riziki, wengine wanasema nimetegwa na mke wangu, basi na maneno kibao...
1 Reactions
81 Replies
6K Views
Nina miaka 31,ninaishi Mbeya na kufanya biashara hapa hapa Mby.natafuta binti atakayekuwa mke wangu mpenzi.awe mkristo,
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf.Nina rafiki yangu wa kiume,huu mwaka sasa unakata,tupo marafik vizuri tu,tatizo alilonalo,hajui kumtongoza mwanamke..eti yeye anasema action atakazokuwa anaonyesha kwa yule...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
1. Guys aren’t psychic, mind telling them what you mean? 2. Guys don’t like to be used as pawns in trying to make your friends jealous. 3. Guys tend to get serious with their relationship and...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
ndoa ni umoja wawageni wawili wasiofahamiana vema.kila mmoja ni kama msitu wenye vitu vyakugunduliwa polepole.ugeni huo ni chanzo cha matatizo mengi kwenye ndoa. wengi hugunduatofauti zao baada ya...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Nipo morogoro chuo kikuu sokoine,natafuta mchumba wa kuoa.Nina umri wa miaka 29.sichagui rangi wala kabila.Awe mkristu.Aliye tayari tuwasiliane kupitia email josephmtonga@ymail.com
0 Reactions
20 Replies
3K Views
habari,niliachwa na mpnz wangu nikajitahid kummbembeleza for good 5months nilpoona pozi zimezid nikaenda kwa wazazi wake maana tulifunga ndoa ya kimila mwisho wa siku familia yake ikanipa nyumba...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
habari jf.mimi ni kijana umri wangu kati ya 26-30 natafuta mke wa kuoa awe muislam mwenye heshima awe anaswali walau hata ijumaa.awe na upendo wa dhati pia awe anajua nini maana ya maisha sio awe...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Siku hizi wanaume wamekua wakilalamika kuwa wanawake wamekuwa wakipenda hela na hawamtaki mwanaume asiekua na hela.Wanawake nao wamekuwa wakidai kuwa sio kweli kuwa jambo hilo lipo na kama lipo ni...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Aswad - Don`t Turn Around (Video Clip) - YouTube If yo uwanna leave baby I won't beg you to stay and if you gotta go darling maybe it's better that way I'm gonna be strong I'm gonna be fine don't...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Getting a phone number from a girl, can be fine tuned to perfection. You should be able to get 8 phone numbers from 10 conversations with girls without any problems. If you fallow the rules and...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom