Wasalaam!,
Sitaki kukupotezea muda mwingi naomba sana munisaidie shida yangu hii kwani nahisi dunia yote nimebaki peke yangu!!. Kifupi mimi ni kijana wa miaka 29 na nimesoma mpaka chuo kikuu,japo bado sijabahatika kupata kazi.nilisoma shule ya bweni ya wavulana tupu,tangu kidato cha kwanza mpaka cha sita.
Nilipokuwa shule tangu kidato cha kwanza nilifundishwa au kuiga tabia ya kupiga punyeto (Masterburation).na ilikua ni tabia ya kawaida kabisa hapa shule na kutokana na hilo hakika sikujua kama ina madhara yoyote.
Niliendelea kupiga punyeto kuanzia kidato cha mpaka kitado cha sita mfululizo na nikawa adicted kabisa.Baada ya kujua madhara yake niliamua kuacha kabisa tabia hii na hili nimeliweza.
Nilipofika chuoni niliingia kwenye uhusiano na msicha ambae nilmpenda sana na tulipendana sana.Nilipojaribu kushiri nae tendo,nilishindwa kabisa na sichukui muda hata wa dakika 1 nimeshamwaga!
Hili tatizo liliendelea kujirudia mara nyingi sana katika uhusiano wetu na mpenzi wangu alikosa raha sana na kulalamika simlizishi katika mapenzi,na baada ya mudaakanichukia,mapenzi yakapungua na mwiso akaomba tuachane naakaniaacha!!.
Nimekaa mwenyewe muda mrefu sana na najihisi mpweke sana,na sina raha. Je, naweza kupata mtu wa kunipenda katika hali hii na kuyaelewa matatizo yangu na kuangalia jinsi ya kunisaidia?
Je, naweza kupata tiba ya tatizo hili?kwani hata sehemu zangu za siri zimesinyaa na imekua laini,na ukiamuka asubuhi inakua imelala tu!!.
naomba msaada wako,na kama kuna msicha yoyote yuko tayari kunipenda kwenye hali hii aniandikie kwenye e-mail yangu kulwa12@fastmail.fm
NAOMBA MSAADA WENU WADAU.
Sitaki kukupotezea muda mwingi naomba sana munisaidie shida yangu hii kwani nahisi dunia yote nimebaki peke yangu!!. Kifupi mimi ni kijana wa miaka 29 na nimesoma mpaka chuo kikuu,japo bado sijabahatika kupata kazi.nilisoma shule ya bweni ya wavulana tupu,tangu kidato cha kwanza mpaka cha sita.
Nilipokuwa shule tangu kidato cha kwanza nilifundishwa au kuiga tabia ya kupiga punyeto (Masterburation).na ilikua ni tabia ya kawaida kabisa hapa shule na kutokana na hilo hakika sikujua kama ina madhara yoyote.
Niliendelea kupiga punyeto kuanzia kidato cha mpaka kitado cha sita mfululizo na nikawa adicted kabisa.Baada ya kujua madhara yake niliamua kuacha kabisa tabia hii na hili nimeliweza.
Nilipofika chuoni niliingia kwenye uhusiano na msicha ambae nilmpenda sana na tulipendana sana.Nilipojaribu kushiri nae tendo,nilishindwa kabisa na sichukui muda hata wa dakika 1 nimeshamwaga!
Hili tatizo liliendelea kujirudia mara nyingi sana katika uhusiano wetu na mpenzi wangu alikosa raha sana na kulalamika simlizishi katika mapenzi,na baada ya mudaakanichukia,mapenzi yakapungua na mwiso akaomba tuachane naakaniaacha!!.
Nimekaa mwenyewe muda mrefu sana na najihisi mpweke sana,na sina raha. Je, naweza kupata mtu wa kunipenda katika hali hii na kuyaelewa matatizo yangu na kuangalia jinsi ya kunisaidia?
Je, naweza kupata tiba ya tatizo hili?kwani hata sehemu zangu za siri zimesinyaa na imekua laini,na ukiamuka asubuhi inakua imelala tu!!.
naomba msaada wako,na kama kuna msicha yoyote yuko tayari kunipenda kwenye hali hii aniandikie kwenye e-mail yangu kulwa12@fastmail.fm
NAOMBA MSAADA WENU WADAU.