Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Baada ya takribani mwezi mmoja wa aliodhani wanawasiliana, kumbe alikuwa anawasiliana. Ilifika muda wakagombana...na maongezi yalikuwa hivi. Me: tena hiyo namba yangu uifute ke: ungejua...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
wana jf kuna mademu mengine easy going unataki kusema tu maneno mazuri unawachukua bila hela na wanweza kukupa wewe wakiwanazo
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Studies further show that couples who delay sex until their wedding night have more stable and happier marriages than couples who have pre-marital sex. According to Asiphe Ndlela, a psychologist...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wewe unatarajia kuoa hivi karibuni!upo ktk kikao chako cha harusi,mmepanga bajeti ni 12m!Bwana harusi umeanza ahadi yako kwamba utatoa 3.5m!wanakamati wawili watatu nao wakatoa ahadi zao!Sasa...
4 Reactions
147 Replies
16K Views
nina mipango ya dhati kuwa na mwenzi... mwezi nov mwakani... ila sina rafiki wakike ambaye niko nae kwa mahusiano ya kimapenzi ... wala mchumba mpaka sasa... naomba ushauri wako ww mwenye...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele...
12 Reactions
103 Replies
12K Views
jamani juzi nilikosa raha baada ya kushindwa kufanya tendo la ndoa na mke wangu baada ya mwenye duka kuniuzia condom zilizo expire. kwa vile mke wangu alikuwa kwenye siku za hatari na sisi wenyewe...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Lovely sunday to u all......
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dada mmoja alikuwa kwenye mishemishe zake,mara akaona kanga inaning'inia dukani ikamvutia na kwenda kuinunua. Bila kuisoma jina akampelekea mama mkwe wake,kisha akaondoka zake. Huku nyuma mama...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nilikuwa naye kwa miaka 4 kipindi tukiwa masomoni yy secondary mm University miaka kadhaa nyuma. Hatukuwai kufanya sex kwa makubaliano hadi aitimu masomo yake kwani hakuwa amewai kuduu kwa kuwa...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Habari zenu wanaume wenzangu. Mwenzenu nina tatizo jamani, siwezi kuwa kwenye uhusiano na msichana kwa muda mrefu. Tatizo ni kuwa huwa nawachoka sana wasichana ninaokuwa nao. Sio kwamba ni...
0 Reactions
122 Replies
9K Views
Habari JF. Mimi ni kijana na umri wa miaka 25, Mtanzania, dini Mkristo RC,elimu mwaka wa 3 degree ya IT. Natafuta msichana anayependa maendeleo na chapa kazi.Sina ubaguzi wowote kwan wote ni wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwenye uwanja wa wa mahaba kapo katabia ka kuficha "feelings" kwa khofu ya kuachwa majeruhi na yule umpendaye........kwa hiyo kamchezo hako hufanya binti au kijana acheze mchezo uitwao "mind...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Unamkewako wa ndoa unaishi naye vizuri tu ndani ya nyumba na anakutimizia haja zako zote na unamwamin sana naye pia anakuamin lakin kwa upande wako unamwanamke mwingine nje ya ndoa na hupendi mkeo...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Wadau,naomba kuulza,hvi hawa wasichana ambao tumezoea kuwaona kwenye shooting za wasanii mbalimbali wakikata mauno,huwa wanaolewa kweli?
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Unakumbuka siku ulipoulizwa; Ewe. . . .,unakubali kumpokea . . . . .,awe mumeo/mkeo,katika shida na raha,magonjwa na afya na utamhesimu siku zote za uhai wako mpaka kifo kiwatenganishe?Kisha...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
natafuta rafik wa kike,umri kati ya miaka 22 had 24 na awe mkristo na ambaye yupo tayar kuwa nam
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna kipindi nilikuwa nikifanyakazi kwenye operesheni ya wakimbizi huko Magharibi ya Tanzania. Kutokana na wimbi la Wakimbizi, kulikuwa na silaha nyingi sana zimezagaa na hivyo majambazi...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
Naitwa Haji Rashid,,,,nina miaka 23,,ni mweupe kidogo{maji ya kunde},,,urefu ft,5.6,,,umbo langu ni la kawaida,,natafuta msichana mrembo awe na miaka 18/23,,,anayejitambua vizuri,asiwe mapepe,awe...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nilikuwa na mjadala na rafiki yangu mmoja na mada husika ilikuwa inajadiliwa. Kwamba, ati mwanamke akiugua labda kwa mrefu kidogo mwanamme hawezi kutulia sana huamua kutafuta kidumu au mahali pa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom