Hivi ni kwanini lakini....................akichachamaa mwishowe wake huwa ni mtamu kama alivyonisumbua...........but why is it like this................................if she plays hard to get she...
habari zenu wanajf...nipo hapa leo kusema kinachonisibu na jf membaz wenzangu.....kwanza kabisa nashukuru sana kwa ushirikiano tulionao wana jf kwa siku zote hizi na pia nashukuru kwa Pm's zenu...
nipo seriouz nahitaji mtu wa kusaidiana nae maisha mwenye vigezo vifuatavyo:-
age: 22 to 27
education: at least form 4 with valid credits
body type : slim and moderate tall
religion: christian of...
sio mimi smile
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25,
nilimaliza form four miaka kadhaa iliyopita kwa bahati mbaya sikuweza kufaulu kuendelea na kidato cha 5,
nilipata division four ya...
Jua lililokuwa limetawala lilimezwa ghafla na mawingu yaliyokuwa yametanda.kiupepo kilianza kuvuma na kubeba takataka nyepesi na kuzirusha juu na kulifanya angaa litawaliwe na rangi nyeusi ya...
Hii maneno nimeisikia nusu saa ilopita toka kwa mashostito watano walokuwa wanapiga domo muda huu wa kazi. Unajua tena hizi ofisi siku hizi zinatenganishwa kwa soft wood sio kama enzi zile za...
Habari zenu wakuu,
Nimepatwa na matatizo mpaka najihisi na mikosi.Kila siku ni mimi tu wa kulia, ni mimi tu wa kuwa mpweke nimechoka nimeamua nije kwenu mnishauri.
Napenda sana kuwa na mtu...
Unakuta mtu umepanga kukutana na galfrnd wako,let say saa 8 mchana,anajikawiza hadi inafka saa 12jion,afu ndo anakuambia,''unajua nin honey,mumy alinipa kazi flan,yan ndo nimeimalza saa hz,afu...
jaman tusaidiane katika hili najua humu jf members tutakuwa tumekutananalo au tulikutananalo au tunakutananalo katika mahusiano yetu...,unakuwa na mpenzi ambae anakupeenda sana mpaka wewe mwenyewe...
The Woman with Two Vaginas! (Hazel Jones) - YouTube
A WOMAN told yesterday how a one-in-a-million medical condition led to her being born with TWO fully-formed vaginas.
Hazel Jones, 27, said it...
A woman with two vaginas who has captured the attention of the porn industry has said she would never consider accepting any role in a film.Hazel Jones appeared on TV earlier this week, where she...
...nimepewa more than i can chew
Nilijigamba mimi rijali lakini maji yamezidi unga
Nyumbani pamekuwa ni pakuvizia
Nikirudi ni usiku wa manane
Mtu kanidokeza ni NYMPHOMANIAC
Mwanaume hatakiwa...
Habari zenu wana jr..i hope mnaendelea vyema na ujenz wa Taifa
jaman me nmekuja hapa cjui nielezee vipi lakini kikubwa ni kuwa nimemiti na rafiki yangu wa humu jamii forums ni HB alafu kuna vitu...
Un-vote
Waume wanao-cheat, wako hatarini zaidi kufa na heart attack wakati wa ngono nje ya ndoa zao
Wanaume wanao-cheat wake zao wana sababu nyingine ya kuhofu zaidi ya wasiwasi wa kubambwa...
Nimesikia sana usemi huu 'free is expensive' binafsi sijaufuatilia sana ila kwa uzoefu wangu huohuo mdogo nimeona kuna kaukweli. Ila sasa nikiangalia maisha yangu naona kama Mungu, wazazi, ndugu...
Nimewasikia Akinamama waliokuja kumfariji shangazi yangu baada ya mume wake kutafuta nyumba ndogo na kuelekeza nguvu zote huko wakimfariji na kumwambia kila jaribu lina mlango wake wa kutokea...
Inazidi kuthibitika sasa kwamba,wanawake huwa wanatoa harufu fulani chini ya kwapa zao ambayo huwafanya wanaume kuvutika kimapenzi kwao.Harufu hiyo ambayo inafahamika kama pheromone haisikiki...
mwanaume anapokuzushia kutembea na wewe kwa sababu ya uzuri wako,kutoelewana,kutaka kuonekana kijogoo
na jamii ikapotoka kuhusu wewe, ni nini utakachofanya dhidi ya mwanaume huyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.