Good things are always free

edcv

Member
Feb 22, 2012
48
23
Nimesikia sana usemi huu 'free is expensive' binafsi sijaufuatilia sana ila kwa uzoefu wangu huohuo mdogo nimeona kuna kaukweli. Ila sasa nikiangalia maisha yangu naona kama Mungu, wazazi, ndugu na marafiki wamenipa vingi sana vya bure ambavyo ndio haswa msingi wa maisha yangu. Kwa sababu hiyo nikiangali jinsi baadhi ya hawa walivyoteseka ili mimi nipate hivyo vitu, naamini kwamba Mungu ndiye ambaye anafanya tuweze kula kesho pamoja na kwamba tunaamini fedha zetu ndo kila kitu. Huwa najitahidi sana kuuendeleza huu msemo wa "Good things are always free". Sasa swali langu kwenu wanajamii, Ni kwanini mtu anafanya ngono, na kuanzia anaanza mpaka anamaliza yuko na akili zake. Mwanamke anapata mimba- wanasema ilikuwa accident kwa hiyo tuitoe. Kwa nini mtoto ndio alipe uzembe wenu kwa maisha yake? Na sisi wanajamii tunawashauri bila hata kuogopa dhamiri zetu zinavyotukataza! Why do we embrace these bloodthirsty murderers?
 
dunia imejaa contradictions in general
lakini ukispecify a certain situation, huu msemo una maana yake.

'Haraka haraka haina baraka'

afu unaambiwa tena

'ngoja ngoja huumiza matumbo'
 
Say NO to abortion.

6620_128206889828_93101829828_3157724_7128157_a.jpg


2741_93103424828_93101829828_2510522_6470796_n.jpg


428765_125483934240262_100003359683269_113387_489951731_n.jpg


Dont' tell me this is not taking a human life.
Don't tell me this is not murder, that this is not wrong.
Don't tell me that you had the "right" and the "choice" to do this.
Let's face the ugly facts, grow up, and STOP THE SELFISHNESS, the DISCRIMINATION, the HATE!
End abortion!

426657_319741804733535_270186789689037_814961_1178149272_n.jpg
 
Say NO to abortion.

6620_128206889828_93101829828_3157724_7128157_a.jpg


2741_93103424828_93101829828_2510522_6470796_n.jpg


428765_125483934240262_100003359683269_113387_489951731_n.jpg


Dont' tell me this is not taking a human life.
Don't tell me this is not murder, that this is not wrong.
Don't tell me that you had the "right" and the "choice" to do this.
Let's face the ugly facts, grow up, and STOP THE SELFISHNESS, the DISCRIMINATION, the HATE!
End abortion!

426657_319741804733535_270186789689037_814961_1178149272_n.jpg

Mkuu speaker umeenda mbali sana!
 
Back
Top Bottom