Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Unakuta mtu umepanga kukutana na galfrnd wako,let say saa 8 mchana,anajikawiza hadi inafka saa 12jion,afu ndo anakuambia,''unajua nin honey,mumy alinipa kazi flan,yan ndo nimeimalza saa hz,afu nahis nimechoka,hata kutembea siwezi,tuonane siku nyngne mpz,love u'' muda huo unakua ushatuma crdts za kutosha afu ndo unaambiwa vitu ka hvo.sio mpango dada zetu,tunaharbiana ratiba bana.