Ruppy karenston
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 412
- 73
Habari zenu wakuu,
Nimepatwa na matatizo mpaka najihisi na mikosi.Kila siku ni mimi tu wa kulia, ni mimi tu wa kuwa mpweke nimechoka nimeamua nije kwenu mnishauri.
Napenda sana kuwa na mtu anaenipenda kwa dhati kabisa lakini wengi wao huwa wananitamani tu,.
Ni lini nitapata atakaenipenda? Ni kwanini niumie kiasi hiki? Kwani nina kasoro gani?
Nilikuwa na mpenzi wangu,na nilimuamini sana na tuliweka mpaka plans za ndoa i just found out last month he's gat a family somewhere na alikuwa ananipotezea muda.
Am writing this with tears down my cheeks,, where have i gone wrong? Why is it always me? Dont i deserve to be happy?7
Somebody tell me something please.
Nimepatwa na matatizo mpaka najihisi na mikosi.Kila siku ni mimi tu wa kulia, ni mimi tu wa kuwa mpweke nimechoka nimeamua nije kwenu mnishauri.
Napenda sana kuwa na mtu anaenipenda kwa dhati kabisa lakini wengi wao huwa wananitamani tu,.
Ni lini nitapata atakaenipenda? Ni kwanini niumie kiasi hiki? Kwani nina kasoro gani?
Nilikuwa na mpenzi wangu,na nilimuamini sana na tuliweka mpaka plans za ndoa i just found out last month he's gat a family somewhere na alikuwa ananipotezea muda.
Am writing this with tears down my cheeks,, where have i gone wrong? Why is it always me? Dont i deserve to be happy?7
Somebody tell me something please.