wewe ndo msichana au unatafuta msichana?. Mbona hujiamini bana. wewe hujafikia umri wa kuoa. kwanini usijitambulishe kikamilifu bana? au unataka kuchezea dada zetu. hebu taja sifa zako sasa.
Kweli we2 dubu. Hata kusoma haujui. Neno la kwanza kwenye maelezo yangu nimesemaje
Haya kwa faida ya wasiomakini kama wewe!
mi ni mwanaume miaka 26, elimu degree commerce, sina ajia ila nina kazi... Info nyingine atapewa mwenye sifa nilizozitaja.