Wadau, habari za jioni. Kabla sijatoa hoja napenda nianze kwa utangulizi. Nimekuwa member hapa JF kwa muda kidogo, naamini ni sehemu ambayo kuna mkusanyiko wa watu wengi ambao ni wastaarabu na...
Wakuu,
jana baada ya kurud job mida ya saa kumi na moja jion hv,naingia home na kumkuta wife kajaa tele akifanya kazi za hapa na pale (yeye huwahi kurudi home kutokana na nature ya kazi yake)...
Wale mahawara walionasana kama mbwa tayari mwenye mke kawanasua kwa dau nono.
Awali mwenye mke alitaka alipwe Milioni 16 ili awanasue mahawara hao ikaonekana mwenye mwanaume hana dau hilo wadau...
Hi ndg zanguni wana Jf.
Basi jioni ya leo nilikuwa na rafiki yangu, mara punde ikaingia msg kutoka kwa mchumba wake (wa kike) ikisomeka hivi "poa usijali mungu atakutangulia baby" ghafla rafiki...
Wanajf wenzagu,
yamenikuta usiku huu hapa hata lepe la usingiz sina labda mkinisaidia japo mawazo yenu tu labda nitalala.
shemeji yenu yaan hapo namaanishisha mwenza wangu... yaani nadhan...
Katika imani zetu, kuna namna mbalimbali za kusali/kuswali/kuomba kulingana na imani husika. Kutokana na misingi ya imani zetu, huwa tunaomba kwa ajili ya vitu mbalimbali mfano: kufaulu mitihani...
Today's Message:
Love doesnt always end the way we want it to. But it always ends the way it is supposed to. If one love is lost, it only means that another one, sometimes better sometimes not...
1.Unaegesha gari yako sehemu fulani ya mji unaendelea na shughuli zako. Ukirudi kuelekea ulikoacha gari unaona kwa mbali watu wawili watatu wamelizingira gari.Unapokaribia unaona vizuri vijana...
jaman kila cku maisha yanabadilika upendo wa dhati umepungua watu wanatumia uongo kuliko ukweli kiukweli mapenzi ya uongo yanaumiza tena sana tujalibu kubadilika na haya maisha yanayo wapeleka...
Wanajamii forum wenzangu, eb mnisaidie nifaham sifa anazotakiwa kuwa nazo mwanamke wa kuoa.
Bila shaka kwa sifa hizo, ninavyoona mimi ndo zitakamilisha neno "mwanamke mzuri"
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Dar Es Salaam natafuta mke wa kuoa.
Kwa hiyo nimeona leo nije hapa kuona kama nitapata ninachohitaji
Natafuta msichana ambaye yupo tayari (serious) kuolewa...
KARIBUNI sana rafiki yangu katika uwanja wetu ambao kwa namna moja ama nyingine umebadilisha maisha ya wengi. Inawezekana hata wewe umepata kitu fulani kupitia hapa, maana kila kukicha nimekuwa...
Wandugu je wajua ngono zembe inasababisha lundo lamagonjwa na Baadhi yake ni kama vile kisonono, kaswende na Ukimwi. magonjwa hayo yanasababishwa na mtindo wa maisha ambapo ngono imefanywa kama...
Suala la kutongoza linaweza kumkuta mwanamume yeyote rijali.
Sasa mimi nikitongoza mwanamke halafu akinikatalia huwa nafurahi na kujisikia vizuri sana kuliko kama akinikubalia.
Yaani anakuwa...
Nimeona thred ya mdau akilalamika katumiwa picha za mpenzi wake aki-do na X wake. Nimejiuliza maswali mengi kuhusu kwa nini wapenzi hufikia point ya kupiga picha wanapo-do nimeshindwa kupata...
Habari za maandalizi ya mwaka mpya wakuu? Wakuu naomba masaada wenu wa mawazo na utalaalam ili nipate cha kumshauri jamaa yangu kwani mie yamenishinda na hata jamaa yangu kila nikimuuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.