Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wadau, habari za jioni. Kabla sijatoa hoja napenda nianze kwa utangulizi. Nimekuwa member hapa JF kwa muda kidogo, naamini ni sehemu ambayo kuna mkusanyiko wa watu wengi ambao ni wastaarabu na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe. Nifanyeje? Ushauri wenu tafadhali.
3 Reactions
80 Replies
9K Views
Wakuu, jana baada ya kurud job mida ya saa kumi na moja jion hv,naingia home na kumkuta wife kajaa tele akifanya kazi za hapa na pale (yeye huwahi kurudi home kutokana na nature ya kazi yake)...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Wale mahawara walionasana kama mbwa tayari mwenye mke kawanasua kwa dau nono. Awali mwenye mke alitaka alipwe Milioni 16 ili awanasue mahawara hao ikaonekana mwenye mwanaume hana dau hilo wadau...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Hi ndg zanguni wana Jf. Basi jioni ya leo nilikuwa na rafiki yangu, mara punde ikaingia msg kutoka kwa mchumba wake (wa kike) ikisomeka hivi "poa usijali mungu atakutangulia baby" ghafla rafiki...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanajf wenzagu, yamenikuta usiku huu hapa hata lepe la usingiz sina labda mkinisaidia japo mawazo yenu tu labda nitalala. shemeji yenu yaan hapo namaanishisha mwenza wangu... yaani nadhan...
3 Reactions
59 Replies
5K Views
Katika imani zetu, kuna namna mbalimbali za kusali/kuswali/kuomba kulingana na imani husika. Kutokana na misingi ya imani zetu, huwa tunaomba kwa ajili ya vitu mbalimbali mfano: kufaulu mitihani...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Today's Message: Love doesn’t always end the way we want it to. But it always ends the way it is supposed to. If one love is lost, it only means that another one, sometimes better…sometimes not...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
1.Unaegesha gari yako sehemu fulani ya mji unaendelea na shughuli zako. Ukirudi kuelekea ulikoacha gari unaona kwa mbali watu wawili watatu wamelizingira gari.Unapokaribia unaona vizuri vijana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
najihisi kuwa na mahaba ya dhati akiwa mbali na mimi ila najihisi kumchoka mda mfupi baada ya kuwa nae
0 Reactions
8 Replies
1K Views
naomba muorodheshe faida za kuwacheat wapenzi wenu ,mi ninavyoona hamna faida zaid ya hasira
0 Reactions
20 Replies
4K Views
jaman kila cku maisha yanabadilika upendo wa dhati umepungua watu wanatumia uongo kuliko ukweli kiukweli mapenzi ya uongo yanaumiza tena sana tujalibu kubadilika na haya maisha yanayo wapeleka...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wanajamii forum wenzangu, eb mnisaidie nifaham sifa anazotakiwa kuwa nazo mwanamke wa kuoa. Bila shaka kwa sifa hizo, ninavyoona mimi ndo zitakamilisha neno "mwanamke mzuri"
0 Reactions
38 Replies
12K Views
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Dar Es Salaam natafuta mke wa kuoa. Kwa hiyo nimeona leo nije hapa kuona kama nitapata ninachohitaji Natafuta msichana ambaye yupo tayari (serious) kuolewa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalam wanashauri eti ukimpenda mtu na hamtaki kufanya kale kamchezo basi mkumbatiane na kushikana mikona na ham itaisha je kunaukweli?
0 Reactions
40 Replies
5K Views
KARIBUNI sana rafiki yangu katika uwanja wetu ambao kwa namna moja ama nyingine umebadilisha maisha ya wengi. Inawezekana hata wewe umepata kitu fulani kupitia hapa, maana kila kukicha nimekuwa...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Wandugu je wajua ngono zembe inasababisha lundo lamagonjwa na Baadhi yake ni kama vile kisonono, kaswende na Ukimwi. magonjwa hayo yanasababishwa na mtindo wa maisha ambapo ngono imefanywa kama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Suala la kutongoza linaweza kumkuta mwanamume yeyote rijali. Sasa mimi nikitongoza mwanamke halafu akinikatalia huwa nafurahi na kujisikia vizuri sana kuliko kama akinikubalia. Yaani anakuwa...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimeona thred ya mdau akilalamika katumiwa picha za mpenzi wake aki-do na X wake. Nimejiuliza maswali mengi kuhusu kwa nini wapenzi hufikia point ya kupiga picha wanapo-do nimeshindwa kupata...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Habari za maandalizi ya mwaka mpya wakuu? Wakuu naomba masaada wenu wa mawazo na utalaalam ili nipate cha kumshauri jamaa yangu kwani mie yamenishinda na hata jamaa yangu kila nikimuuliza...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom