Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
Wanajf wenzagu,
yamenikuta usiku huu hapa hata lepe la usingiz sina labda mkinisaidia japo mawazo yenu tu labda nitalala.
shemeji yenu yaan hapo namaanishisha mwenza wangu... yaani nadhan mmenipata. Anasema kuwa kila akiongea na mimi
anazidi kuboreka, au neno lingine ni kuwa mimi namboa kila nikiongea nae, yaani mimi namkera kila nikiongea nae. jamni simuelewi huyu mtu ndo visa tu au kunamwenzagu kamdatisha au vip. nipeni japo mawazo kidogo ili nilale mwenzenu.
yamenikuta usiku huu hapa hata lepe la usingiz sina labda mkinisaidia japo mawazo yenu tu labda nitalala.
shemeji yenu yaan hapo namaanishisha mwenza wangu... yaani nadhan mmenipata. Anasema kuwa kila akiongea na mimi
anazidi kuboreka, au neno lingine ni kuwa mimi namboa kila nikiongea nae, yaani mimi namkera kila nikiongea nae. jamni simuelewi huyu mtu ndo visa tu au kunamwenzagu kamdatisha au vip. nipeni japo mawazo kidogo ili nilale mwenzenu.