Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
naomba muorodheshe faida za kuwacheat wapenzi wenu ,mi ninavyoona hamna faida zaid ya hasira
naomba muorodheshe faida za kuwacheat wapenzi wenu ,mi ninavyoona hamna faida zaid ya hasira
Faida kuu:
1. Kutuliza kiu ya asiye na mpenzi
2. Kuongeza uzoefu na kuleta tija ya kungonoka na mpenzi wako
3. Kuongeza list ya vikojoleo ulivyowahi kunaniliu navyo....:lock1:
Faida kuu:
1. Kutuliza kiu ya asiye na mpenzi
2. Kuongeza uzoefu na kuleta tija ya kungonoka na mpenzi wako
3. Kuongeza list ya vikojoleo ulivyowahi kunaniliu navyo....:lock1:
Faida kuu:
1. Kutuliza kiu ya asiye na mpenzi
2. Kuongeza uzoefu na kuleta tija ya kungonoka na mpenzi wako
3. Kuongeza list ya vikojoleo ulivyowahi kunaniliu navyo....:lock1:
faida kuu:
1. Kutuliza kiu ya asiye na mpenzi
2. Kuongeza uzoefu na kuleta tija ya kungonoka na mpenzi wako
3. Kuongeza list ya vikojoleo ulivyowahi kunaniliu navyo....:lock1:
Hahaha.... rafiki nimekumisi kweli. Siku hizi sikuoni kwa PM kabisa. Afu usisahau ahadi ni deni.....:crazy:rafiki huishi vituko? Hivyo vikojoleo hivyo teh teh God forbid :lock1:
Nipigie makofi matatu basi.....na hii ndio faida kuu iliyo bora.....
Hehehehe Asali ya ODM bana, mwambie kabisa kuwa Raha ya mwizi kutokamatwa.....! Wizi mtamu ati....!Amesahau kama haramu zote tamu, na hasa kama umechagua kondoo aliyenona.
kupunguza stress...
kugundua kuwa kuna wengine wanakutamani sio tu huyo mmoja
kuwa na kitu cha kusimulia wajukuu ukizeeka
kuongeza appetite ya maisha
kwa kuwa mpenzi wako ni mkali(mzuri)issue inakua ni kujaribu kujua na wabaya nao wanakuwaje tu thats all,hayo mengine mnajizungusha bure.
Faida kuu:
1. Kutuliza kiu ya asiye na mpenzi
2. Kuongeza uzoefu na kuleta tija ya kungonoka na mpenzi wako
3. Kuongeza list ya vikojoleo ulivyowahi kunaniliu navyo....:lock1:
Ukipewa vitu adimu unaweza kupunguza tija nyumbani, wengine wamejikuta wakipoteza stimu kwa wake/wapenzi wao kwa sababu ya kutaka wahisi utamu wa anaye cheat naye.Faida kuu:
1. Kutuliza kiu ya asiye na mpenzi
2. Kuongeza uzoefu na kuleta tija ya kungonoka na mpenzi wako
3. Kuongeza list ya vikojoleo ulivyowahi kunaniliu navyo....:lock1: