mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
if u cant afford,tel her to pm me..know how to treat soldier ladies.Mwenzenu askari jeshi wa kike amenipenda na anataka nimuoe.
Nifanyeje?
Ushauri wenu tafadhali.
Ni mwanamke sawa....tena huyu ni mzuri ajabu. Tatizo kuna mambo mengi sana yanazungumzwa kuhusu hawa watu, kuanzia huko depo hadi kempu.Muoe tu kama na wewe unampenda. Aliekwambia askari wa kike sio mwanamke ni nani? Kwani wewe unataka kila profession ya mtu au mtu mwenyewe?
tatizo ni haya maneno ya mtaani.Ulikuwa unataka upendwe na nani
Ni mwanamke sawa....tena huyu ni mzuri ajabu. Tatizo kuna mambo mengi sana yanazungumzwa kuhusu hawa watu, kuanzia huko depo hadi kempu.
sasa ndo najiuliza.
Ni mwanamke sawa....tena huyu ni mzuri ajabu. Tatizo kuna mambo mengi sana yanazungumzwa kuhusu hawa watu, kuanzia huko depo hadi kempu.
sasa ndo najiuliza.