Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Jaman kuna ulazimaa kuoa mke uliyemzidi umri?
0 Reactions
2 Replies
953 Views
hbar wadau bana naleta hii mada ni wakati gan muafaka wa kumuambia mpnz wako kuwa katika mahusiano yako ya nyuma yalipelekea kuwa na mtoto je ni wakat wa mwanzo wa mapenz au katikati au baada ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
QUESTION;Why do women live longer life? ANSWER;Shopping never causes heart attacks but paying bills does.
0 Reactions
4 Replies
951 Views
HOTUBA YA UFUNGUZI WA SONGEA GLOBAL NETWORK (SGN) KWENYE UKUMBI WA AGOPAL – SONGEA TAREHE 21/04/2012. Mh. Mwenyekiti, Mh. Katibu Mh. Mhasibu Ndugu Wanamtandao, Ndugu Wageni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii tabia iko kwa wadada sana, ukimboa kwa chochote au kwa lolote lile solution anayoichukua ni kukaa kimya au kupunguza mawasiliano na wewe au atakwambia "tutaongea kesho!". Ukiona hivyo kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kumekuwa na mazungumzo ya kuhusu hawa wajenzi huru (Free mason) ikihusishwa na mafanikio makubwa ya kimaisha. Najua kila mtu anashughulika kila siku ili kupata mafanikio katika maisha yake. Pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kudadaadek........ umri wangu unakaribia miaka 38, sina hata mchumba wala mtoto wa kusingiziwa. Hivi ninaweza kweli kupata patna wa kuoa? nakaribia kukata tamaa. Lakini ni lazima kuoa?. But I...
1 Reactions
62 Replies
5K Views
Rafiki yangu alienda nje kusoma akabahatika kupata rafiki wa kike ambae walishirikiana katika nyanja zote za mapenzi. Baada ya kumaliza masomo rafiki yangu akarudi TZ peke yake. TZ akapata rafiki...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana jfm habari!kwa wenye ufahamu ni wapi ntapata suti nzuri kwaajili ya harusi kwa hapa dar,naomba nifahamishwe.
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Hi JF member am here looking for real wife or soul mate; Am cool handsome boy, calm altitude , cheerful , like having fun with my partner, 183cm tall. well educated own a degree, I would...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Imekuwa kama ka tabia flani hivi...maana hawa dada zetu wakisha shinda u miss..kinachofatia ni kuolewa na wazungu..is it a social ladder?? kwani ukiolewa na kijana safi wa kitanzania kuna tatizo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Kweli ni maajabu, mtu kwenye relationship anamlalamikia mwenzake kwamba ni predictable, wala hakumbuki kwamba na yeye ana role to play as far as relationship is concerned. Ni Love, kissing...
0 Reactions
2 Replies
754 Views
Nimefanya kauchunguzi kidogo kwa ndugu na rafiki zangu waliooa/olewa. Nimegundua maisha ya ndoa yamegawanyika ktk sehemu kuu 3. Ambazo ni KIZUNGU, KICHINACHINA na KIENYEJI. 1.Kizungu huwa mara tu...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
The Power of Words Watch this and then thank your God for what he gave us without asking. If you don’t believe me, ask your parents or ask yourself if they actually asked God for a son/daughter...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
jamani wapenda na wadau wote wa JF! Jambo moja hunitatiza! hiv kweli kabisa mtu aweza pata mwenzi wa maisha humu au kupitia JF? mimi na naamini wapo wengine wengi tu kama mimi wanaohitaji wenza...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kuna namna ambayo ni more suitable kuachana na mtu ambae let say hajakukosea zaidi ya kumweka chini siku moja na kumwambia "mimi na wewe hivi au vile. . . "?!? Yani unataka kumwacha kwa sababu...
3 Reactions
216 Replies
12K Views
Namtafuta binti wa kuoa, nina miaka 29,dini RC,kabila mhaya,elimu kwasasa nasoma masters. Mlengwa,elimu kuanzia diploma,asiwe na mtoto,dini siwe muislamu.Alieye tayari anaweza kuni PM au ani sms...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
I will be in Arusha for business in May at Mc ELLYS Hotel and I need a Jf lady to entertain me as I will be without my wife.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa watakaohitaji: Hamster Free Woman CalendarHamster Free Woman Calendar is a simple and user-friendly universal calendar for women. It will help you to avoid an unwanted pregnancy and to choose...
0 Reactions
4 Replies
981 Views
Ilikuwa ni mwaka 1980 katika kiunga kimoja cha jiji la Paris nchini Ufaransa wakati huduma za Posta ziliposimamishwa kwa muda. Ilikuwaje hadi kufikia hatua hiyo? Ni pale mtumishi mmoja kwenye...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom