platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,364
- 11,150
Familia yetu iliwahi kuishi jirani na familia ya mama na bibi mmoja miaka ya 90.Mama yule alikuwa na mtoto mwenye ulemavu wa akili (zamani tunaita kichaa)......Kwa kuwa tulikuwa wadogo tulikuwa tunamtania sana ingawa akikasirika vurugu la mawe linaanza.
"Kichaa" akawa mtu mzima kama miaka 25, wazazi wakamtafutia mke kijijini.....ilikuwa ngumu lakini kwa kuwa bibi ana vijisenti (nyumba na kilabu cha pombe), akampata binti akalipa mahari na harusi ikafanyika.
Hivi sasa yule kichaa ana watoto watatu copiraiti na maisha yanaenda......Ngoma akizuka mtaani mnaweza kumtania vitu vingi san lakini inapofikia kumtania kuhusu mke wake (mambo ya chumbani),kwanza anaona aibu lakini mkizidi analianzisha.....Mtapigwa na mawe mpaka mkome.
Jamani mapenzi hayana macho!! msione watu wanalia.....
"Kichaa" akawa mtu mzima kama miaka 25, wazazi wakamtafutia mke kijijini.....ilikuwa ngumu lakini kwa kuwa bibi ana vijisenti (nyumba na kilabu cha pombe), akampata binti akalipa mahari na harusi ikafanyika.
Hivi sasa yule kichaa ana watoto watatu copiraiti na maisha yanaenda......Ngoma akizuka mtaani mnaweza kumtania vitu vingi san lakini inapofikia kumtania kuhusu mke wake (mambo ya chumbani),kwanza anaona aibu lakini mkizidi analianzisha.....Mtapigwa na mawe mpaka mkome.
Jamani mapenzi hayana macho!! msione watu wanalia.....