Kuanzia Marekani mpaka hapa TZ inaonekana
umaarufu 'huharibu' watoto vibaya mno....
ndo maana ni kawaida kusikia watu maarufu wakikataza
watoto wao kujishughulisha na sanaa au michezo au kazi za...
Jana ndio tulifuata majibu hayo kwa ajili ya rafiki yangu
ambaye amechumbia binti wa kizaramo. Majibu hayo yamenisisimua
na kuniacha hoi hasa upande wa mambo ambayo tunatakiwa
kulipia. Haya ndiyo...
Huwa najiuliza, mwenzi wa kwanza kuwa naye katika mahusiano ana nafasi yeyote katika utamaduni wako wa mahusiano?
Ni kweli ana nafasi kubwa ya ku-determine do's and dont's katika mapenzi?
Mfano...
How important is independence in your life?
There are people who dont like to be independent as they consider it difficult. They want to depend their whole
lives on others...
Akiwa nje ya mood anatupa neno moja moja hata kujibu kwake ni kitendawili saa zingine, akiwa ndani ya mood ndo sikukuu inakuwa ndefu na uwingi wa maneno iwe ya kukera ama ya kufurahisha na wakati...
Naombeni ushauri maana kwakweli nashindwa kujishauri kama nisuke au ninyoe.
Miezi michache iliyopita(haifiki mitano) nilikutana na kaka mmoja sehemu yake ya kazi nikiwa napata huduma pale...
Mke wangu ana ujauzito wa miezi mitatu, lakini tangu amekuwa na mimba
amekuwa akiendelea kupata hedhi, Pia anaota anafanya mapenzi na watu tofautitofauti kila siku.
Na kuanzia amekuwa mjamzito...
Nina miaka 26 na elimuyangu niliishia form II kazi yangu machinga
natafuta mchumba.
-mwenye mwili wa kati si menene sana na si mwemba sana
-awe mkristo
-awe mwenyenia ya thati kuwa na mtu
Umri wangu miaka 22, ni mwanafunzi wa chuo kikuu, ni mrefu, handsome na black wa kawaida nko serious jamani yoyote ambaye ana sifa zifuatazo aniPM; awe mwembamba wa kati,awe tayari kupima...
Kabla sijaoa nilikuwa nafanya mazoezi ya kunyanyua vyuma sana.Na ninakumbuka enzi hizo my wife alikuwa chuo alikuwa anakuja kila weekend na ilikuwa hamna kulala yaani round moja bila lisaa limoja...
huwa nasikia kwamba wanaume hawapendi kufuatiliwa na wapenzi/wake/wachumba zao.mf.kumpigia pigia cm upo wap saiv upo na nani wafanya nini? unarudi sa ngap mbona nasikia saut za wanawake umekaa na...
Leo nilikuta mjadala huu kwenye usafiri wetu wa hiace, walikua wakijadili rangi ya mwanamke na mwanaume namna inavyoweza kuwa dili kwenye mahusiano,wengi walionekana kuisifia rangi nyeupe na...
I noticed something. As a person gets older it is more difficult for him to fall in love.
Even if it seems that everything is great and perfect. But the relations may end prompty. Why?
kuna mdada mmoja nimetokea kumpenda tena sana ila ana mimba ya miezi 5 co yangu nimemkuta nayo.kwao ni moro nami niko dar maisha yake ni magumu sana kwani anamtegemea mama yake kwa kila kitu na...
Hayati Daniella Perez
Muuwaji Guilherme de Padua
Mtuhumiwa kizimbani
Mapenzi, haiba, uzinzi, kutoka nje ya ndoa na mauaji vyote hivyo ni chachu ya tamthiliya za Wabrazili ambazo zimeteka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.