Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Ninapoandika waraka huu ni dakika moja baada ya kumalizika birthday yako.Hongera.
Binafsi nimekuwa memba yapata muda sasa ndani ya jamvi hili la jf.Kama ni kuona nimeona mengi humu.Kwa kifupi i am a keen observer of the goings around here. Niseme neno moja:
afrodenzi anakupenda!
Ushauri wangu kwako:
Mpende afrodenzi
Muenzi afrodenzi
Mfanye afrodenzi awe kitovu cha dunia yako
Mkabidhi afrodenzi tunu ya roho yako
Katu usim cheat
Awe mboni ya jicho lako
Daima dumu
Na Inshallah
Mkijaliwa kuoana
Wanenu wakue vyema
Wawe mfano wa tabia njema
Ameeen.
Ps:
Kwa kuzingatia uzito wa waraka huu bishanga hatapost tena chochote kwenye uzi hu,alamsiki!
Binafsi nimekuwa memba yapata muda sasa ndani ya jamvi hili la jf.Kama ni kuona nimeona mengi humu.Kwa kifupi i am a keen observer of the goings around here. Niseme neno moja:
afrodenzi anakupenda!
Ushauri wangu kwako:
Mpende afrodenzi
Muenzi afrodenzi
Mfanye afrodenzi awe kitovu cha dunia yako
Mkabidhi afrodenzi tunu ya roho yako
Katu usim cheat
Awe mboni ya jicho lako
Daima dumu
Na Inshallah
Mkijaliwa kuoana
Wanenu wakue vyema
Wawe mfano wa tabia njema
Ameeen.
Ps:
Kwa kuzingatia uzito wa waraka huu bishanga hatapost tena chochote kwenye uzi hu,alamsiki!
Last edited by a moderator: