Nickson Maganya
New Member
- Oct 27, 2011
- 4
- 1
Ktk maisha tulio nayo, vijana wengi tumekosa muelekeo kwa sababu ya kujihusisha ktk masuala ya kimapenzi hali hatujajianda na hatima yake tumekuwa ni watu akulalamika kwamba tatupendwi wengine wanadiliki kusema wanamikosi .Leo naomba tuulizane hivi utajuaje kama unapendwa na mwenzi wako?