Wewe mbovu kwenye SEX! Unajua hilo?

Erotica

JF-Expert Member
Apr 24, 2012
2,513
1,735
Kila mmoja wa wana MMU akiulizwa hapa kiwango chake kipo vipi katika sex atasema yupo fit.
Kinabaki kimshangao kimening'ang'ania kikiniuliza ndani ya nafsi yangu hao waliopo uraianai
wanalalamika hawaridhishwi na wapenzi wao sio members wa jf? Au sababu hakuna kipimo cha kupima kama kile cha kupimia level ya pombe uliokunywa kijulikanacho kama breathalyzer? Kikiletwa kipimo cha kupima kiwango chako cha sex kwa kipimo cha sexkiwangolyzer nani atasogea hapo kupima? Amka baba, Amka mama.
Acha kujidanganya na kutudanganya na jitazame upya ukute wewe ni mbovu. Hio hasa kwa wanaume.
Tujipime na kujijua wajameni ili tukaze bolt sehemu zilizolegea! BTW mimi nipo fit! Nalijua hilo
nisha dhibitisha na kipimo cha sexkiwangolyzer ambacho bado hakijang'amuliwa teh teh teh.


Mwaaaah.

Appended (Courtesy of EMT):

Hizi ni baadhi ya myths ambazo zimesambaa kwenye vichwa vya watu wengi. Do you believe in any of them? Ikiwezekana tuanze kujadili moja moja.
  1. MYTH – The only true kind of sex involves someone putting their penis in someone else. Anything else isn't really sex
  2. MYTH – Having sex on your own isn't really sex
  3. MYTH – Sex should always involve an orgasm
  4. MYTH – If one person orgasms that has to be the end of sex
  5. MYTH – Sex should always start with lots of foreplay
  6. MYTH – Foreplay is for kids
  7. MYTH – Men need an erection in order to have sex
  8. MYTH – Sex is about putting on a good performance, not about enjoying yourself
  9. MYTH – Men should take control of sex, they should be the ones who initiate it and determine what is done
  10. MYTH – Men are always ready for sex
  11. MYTH – Men always want sex
  12. MYTH – Women rarely want sex
  13. MYTH – Women need to be convinced to have sex
  14. MYTH – People shouldn't need any extra lubrication in order to have sex except that produced by their bodies
  15. MYTH – Men should be able to last all night
  16. MYTH – Women should have sex with their partner otherwise they will lose them
  17. MYTH – All kissing and touching should lead to sex
  18. MYTH – It is bad to have sex on your own too much
  19. MYTH – You should never have sex on your own if you have a partner
  20. MYTH – If you fantasize about someone else you're not happy with your partner
  21. MYTH – If you have had sex with someone once you have to do it again
  22. MYTH – If you have had one kind of sex it isn't okay to say you don't want to do that any more
 
Hi Erotica, upo bibie? Nice to see you again.
Sasa tunakazaje hizo bolts? Mwaga maujuzi...
 
Last edited by a moderator:
Kati ya mambo yooote yaliyopo duniani, sex ndio mazungumzo yenu. Hivi kuwa member wa JF hadi kiwango changu cha sex kijulikane na wewe?

Haya ukishajua ndio inakuwa nini?

Kama mnauza semeni kwa kunyoosha maongezi. Siku moja moja jadilini mambo ya maana. Akili mmeziweka kwenye sehemu za uzazi basi saa zooote mijadala ni namna gani sehemu za siri za mwanaume zitawatosha, Loh!
 
Hi Erotica, upo bibie? Nice to see you again.
Sasa tunakazaje hizo bolts? Mwaga maujuzi...


rahisi. ukisha jijua wewe ni mbovu unaangalia ni sababu gani.
kua confident uliza mpenzi wako nini inatakiwa uboreshe. Kifaa chenyewe au mautundu?
hapo unafanyia kazi. nice to see you 2 Mwali.
 
Last edited by a moderator:
Kaka mbona unapost kwa uchungu sana? Kimekuuma?

Kati ya mambo yooote yaliyopo duniani, sex ndio mazungumzo yenu. Hivi kuwa member wa JF hadi kiwango changu cha sex kijulikane na wewe?

Haya ukishajua ndio inakuwa nini?

Kama mnauza semeni kwa kunyoosha maongezi. Siku moja moja jadilini mambo ya maana. Akili mmeziweka kwenye sehemu za uzazi basi saa zooote mijadala ni namna gani sehemu za siri za mwanaume zitawatosha, Loh!
 
Kati ya mambo yooote yaliyopo duniani, sex ndio mazungumzo yenu. Hivi kuwa member wa JF hadi kiwango changu cha sex kijulikane na wewe?

Haya ukishajua ndio inakuwa nini?

Kama mnauza semeni kwa kunyoosha maongezi. Siku moja moja jadilini mambo ya maana. Akili mmeziweka kwenye sehemu za uzazi basi saa zooote mijadala ni namna gani sehemu za siri za mwanaume zitawatosha, Loh!


Mwana mtoka pabaya wewee!!! hapa nikimaanisha hivo hivo sio kwamba nakuita! Kaaaah.
wewe umeingia mmu unategemea kupata topic gani zaidi ya cheating, nyumba ndogo,
nimetendwa, after sex mistakes, kapos fight, being ignored yote hayo msingi wake ni sex. cha ajabu nini?
kama wewe mbovu na ukasema hapa tutapeana tips, unaona hazikufai sepa kabla hata hayo maneno sijayafilisi.
Eti mambo ya maana. ungezaliwa wewe bila sex? au na wewe huna maana?
 
rahisi. ukisha jijua wewe ni mbovu unaangalia ni sababu gani.
kua confident uliza mpenzi wako nini inatakiwa uboreshe. Kifaa chenyewe au mautundu?
hapo unafanyia kazi. nice to see you 2 Mwali.
Kuna partners wengine wanajifanya wanajuaaaaaa
hadi unaona ukimwambia utamuumiza ego yake
Hapo unaanzaje kumsaidia kukaza bolts zake sasa?
 
Mwana mtoka pabaya wewee!!! hapa nikimaanisha hivo hivo sio kwamba nakuita! Kaaaah.
wewe umeingia mmu unategemea kupata topic gani zaidi ya cheating, nyumba ndogo,
nimetendwa, after sex mistakes, kapos fight, being ignored yote hayo msingi wake ni sex. cha ajabu nini?
kama wewe mbovu na ukasema hapa tutapeana tips, unaona hazikufai sepa kabla hata hayo maneno sijayafilisi.
Eti mambo ya maana. ungezaliwa wewe bila sex? au na wewe huna maana?
Hahahahaha, huyu ndie Erotica bwana. lol
 
Kati ya mambo yooote yaliyopo duniani, sex ndio mazungumzo yenu. Hivi kuwa member wa JF hadi kiwango changu cha sex kijulikane na wewe?

Haya ukishajua ndio inakuwa nini?

Kama mnauza semeni kwa kunyoosha maongezi. Siku moja moja jadilini mambo ya maana. Akili mmeziweka kwenye sehemu za uzazi basi saa zooote mijadala ni namna gani sehemu za siri za mwanaume zitawatosha, Loh!
Kila mmoja ana uhuru wa kutoa mawazo yake, na humu kuna majukwaa tofauti tofauti ukiingia MMU maana yake mapenzi na mahusiano na urafiki, ukitaka siasa, ukitaka elimu, ukitaka mapishi n.k
Hayo unayoyataka wewe yatafute kwenye jukwaa husika, tuachie MMU yetu tujinafasi, Usiwafunge watu LUKU.

 
Back
Top Bottom