hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 19
......ndipo ilipo furaha yangu.
Kuna msichana mmoja kusema ukweli nampenda sana na nshawahi kumwambia ila bado hajanijibu.
Kiukweli nshawahi kuwa na uhusiano wa muda mfupi na rafiki yake wa damu hata uyo msichana alikua anajua,ila baadae tukaachana ndipo nilipoamua kumfuata na kumwambia kuwa nampenda. Na kiukweli nlikua nampenda tangu nikiwa na rafiki yake nd'o maana nkaachana na mwenzake ili nmfuate yeye. Hebu nimbieni hivi atanikubalia kweli? Nshaurini jamani.
Kuna msichana mmoja kusema ukweli nampenda sana na nshawahi kumwambia ila bado hajanijibu.
Kiukweli nshawahi kuwa na uhusiano wa muda mfupi na rafiki yake wa damu hata uyo msichana alikua anajua,ila baadae tukaachana ndipo nilipoamua kumfuata na kumwambia kuwa nampenda. Na kiukweli nlikua nampenda tangu nikiwa na rafiki yake nd'o maana nkaachana na mwenzake ili nmfuate yeye. Hebu nimbieni hivi atanikubalia kweli? Nshaurini jamani.