Mzigo wa nini?

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,845
marc_jacobs_karen_leather_frame_handbag.jpg

...kina dada hunishangaza, pamoja na kutaabika kujibebesha mizigo kama hii, kwanini Khanga haikosekani kwenye mikoba yenu???

Eti watu wazima wenzangu, nini siri ya Khanga hizo, wanaenda nazo wapi au kwa matumizi gani? ....mtihani walaaaahi, ha ha...

 
marc_jacobs_karen_leather_frame_handbag.jpg

...kina dada hunishangaza, pamoja na kutaabika kujibebesha mizigo kama hii, kwanini Khanga haikosekani kwenye mikoba yenu???

Eti watu wazima wenzangu, nini siri ya Khanga hizo, wanaenda nazo wapi au kwa matumizi gani? ....mtihani walaaaahi, ha ha...


Hahahahahahahahaha We Mbu! mchokozi sana lol! Kwanini lakini hutaki wabebe vijaluba vyao? Halafu siku hizi vijaluba vinazidi kuongezeka ukubwa ukilinganisha na miaka iliyopita. Nilipita duka moja juzi nikakuta limejaa mno nikasema hebu nichungulie hapa kulikoni? Kumbe vijaluba vipya vilikuwa vimeshuka wenyewe wanadai vikali sana na cha bei ya chini kilikuwa kinaanzia $350. Unaweza kukuta kijaluba kilivyosheheni kimekosa sana kina vitu vya kilo tatu sasa huu ni mzigo mzito kwa bega na unaweza kabisa kuleta hata matatizo ya mgongo.
 
Mbu, kanga muhimu kwa mwanamke, anaweza kuihitaji anywhere, any time. thats why mwanameke atakua na kanga katika pochi yake kama hana atabeba kikoi.

ukubwa wa pochi ni kuweza kuweka mahitaji yote humo, mfano hiyo kanga, makeups na vinginevyo.
 
Mh! Nasikia hizo kanga ni kwa ajili ya dhalula ya yule 'mgeni wao' anaewatembelea kila mwezi. sometimes huwa anaibuka tu bila taharifa wala apointment.
 
hehehe hivi ni kweli watu wanatembea na kanga mkobani? mie na walionizunguka wote hawafanyi hivyo au ndio influence za culture za nje?!

anyway mimi nafikiri akina dada lazima mikoba isheheni kwa kuwa kuna vitu muhimu vya kubeba kila utokapo kwako

makeup (kama lipstick na sunscreen lotion, hand lotion, perfume ndogo...n.k)
Vitu vya matumizi ya kike kama panty liners and pads (wengine sio zao hanina utaratibu maalum inabidi wawe na bidhaa full time)
dawa (ya kichwa, ya maumivu, ya mafua, ya pumu)
miwani ( ya jua au ya kuonea)
Sewing kit (vifungo, uzi na sindano, mkasi)
Stationery kit ( kalamu, flash drive, small note pads n.k)
jamii ya tissue ( tissue, wet tisues, handkerchief)
jamii ya candies ( chewing gum, chocolates, sweets)
wallet
simu
n.k

sasa vitu vyote hivyo lazima kibegi kijae ati au unanambiaje?
 
hehehe hivi ni kweli watu wanatembea na kanga mkobani? mie na walionizunguka wote hawafanyi hivyo au ndio influence za culture za nje?!

anyway mimi nafikiri akina dada lazima mikoba isheheni kwa kuwa kuna vitu muhimu vya kubeba kila utokapo kwako

makeup (kama lipstick na sunscreen lotion, hand lotion, perfume ndogo...n.k)
Vitu vya matumizi ya kike kama panty liners and pads (wengine sio zao hanina utaratibu maalum inabidi wawe na bidhaa full time)
dawa (ya kichwa, ya maumivu, ya mafua, ya pumu)
miwani ( ya jua au ya kuonea)
Sewing kit (vifungo, uzi na sindano, mkasi)
Stationery kit ( kalamu, flash drive, small note pads n.k)
jamii ya tissue ( tissue, wet tisues, handkerchief)
jamii ya candies ( chewing gum, chocolates, sweets)
wallet
simu
n.k

sasa vitu vyote hivyo lazima kibegi kijae ati au unanambiaje?
na kanga pia kwa wabongo hasa tunaotembea kwa miguu na kupanda daladala zenye vumbi
 
mom kwa hiyo kanga unaitandaza kwenye daladala kwanza ndo unakaa au inakuwaje?

hebu nipe shule kwanza kuhusu matumizi ya hizi kanga mikobani :D
 
mom kwa hiyo kanga unaitandaza kwenye daladala kwanza ndo unakaa au inakuwaje?

hebu nipe shule kwanza kuhusu matumizi ya hizi kanga mikobani :D

hii ni kwa mm gaijin. nikiingia kwenye daladala yenye vumbi hasa kama nimevaa nguo nyeupe nitafunga hii kanga ndio nikae then nikishuka nakunja na kurudisha kwenye pochi.

au imgn ni mvua inanyesha nawe uko mbali na hom, then inapita gari na maji machafu yanakurukia nguo inaonekana ina madoa mabaya nitajisetiri kwa kanga mpaka nifike sehemu ambayo naweza pata option nyingine.
 
hiyo ya khanga nadhani sio wanawake wote, cjakuaga nawazo la kubeba khanga kabisa, sema handbag yangu haiishi makorokoo, yaani nikitupa fones humu kuzipata ni mpaka ni beep, cjui hata kwanini...lol
 
hehehe hivi ni kweli watu wanatembea na kanga mkobani? mie na walionizunguka wote hawafanyi hivyo au ndio influence za culture za nje?!

anyway mimi nafikiri akina dada lazima mikoba isheheni kwa kuwa kuna vitu muhimu vya kubeba kila utokapo kwako

makeup (kama lipstick na sunscreen lotion, hand lotion, perfume ndogo...n.k)
Vitu vya matumizi ya kike kama panty liners and pads (wengine sio zao hanina utaratibu maalum inabidi wawe na bidhaa full time)
dawa (ya kichwa, ya maumivu, ya mafua, ya pumu)
miwani ( ya jua au ya kuonea)
Sewing kit (vifungo, uzi na sindano, mkasi)
Stationery kit ( kalamu, flash drive, small note pads n.k)
jamii ya tissue ( tissue, wet tisues, handkerchief)
jamii ya candies ( chewing gum, chocolates, sweets)
wallet
simu
n.k

sasa vitu vyote hivyo lazima kibegi kijae ati au unanambiaje?



Kwanini kwenye hiyo list hakuna hela/ ATM card?

Mi nilizani ndo vitu vya muhimu mwanamke kuanavyo na vingesaidia kupatikanika kwa nafasi kwenye dalalala.

Sa mfano unafanya kazi Kariakoo, kunaulazima gani wa kubebelea saduku wakati vitu vyote vinapatikanika madukani?
Najua nitajibiwa eti dharula mf MP au kuchanika kwa nguo kunaweza kutokea ghafa, sa kama ni ivyo, itakushinda nini kumtuma mtu wa hapo ofisni akakununulie sindano ,uzi au always?

Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.
 
hiyo ya khanga nadhani sio wanawake wote, cjakuaga nawazo la kubeba khanga kabisa, sema handbag yangu haiishi makorokoo, yaani nikitupa fones humu kuzipata ni mpaka ni beep, cjui hata kwanini...lol

Kwa wanyaji wa BEER - zile "take away" zinawekwa humo! Pale mwamamke anapopewa "OFA" wakati anawahi nyumbani huo mkoba unamsaidia kuweka vile vichupa vidogo na kuondoka zake!
 
hii ni kwa mm gaijin. nikiingia kwenye daladala yenye vumbi hasa kama nimevaa nguo nyeupe nitafunga hii kanga ndio nikae then nikishuka nakunja na kurudisha kwenye pochi.

au imgn ni mvua inanyesha nawe uko mbali na hom, then inapita gari na maji machafu yana

kwa kuongezea... mwambie kuwa manesi ndio wanatumia sana kanga kwa staili hii
 
hii ni kwa mm gaijin. nikiingia kwenye daladala yenye vumbi hasa kama nimevaa nguo nyeupe nitafunga hii kanga ndio nikae then nikishuka nakunja na kurudisha kwenye pochi.

au imgn ni mvua inanyesha nawe uko mbali na hom, then inapita gari na maji machafu yana

kwa kuongezea... mwambie kuwa manesi ndio wanatumia sana kanga kwa staili hii

haa kumbe ni manes zaidi? mi sio nesi lakini nikijua nina mizunguko lazima niweke huko kanga.
 
Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.


Nijuavyo mie... kwenye party hatubebi mabegi haya makubwa tunabeba clutches
( kipimajoto) or purses - vipochi vidogo KWA AJILI YA LIPSTICKS, MINIATURE PERFUMES, HANKY, NA PESA YA DHARURA..
 
Kwanini kwenye hiyo list hakuna hela/ ATM card?

Mi nilizani ndo vitu vya muhimu mwanamke kuanavyo na vingesaidia kupatikanika kwa nafasi kwenye dalalala.

Sa mfano unafanya kazi Kariakoo, kunaulazima gani wa kubebelea saduku wakati vitu vyote vinapatikanika madukani?
Najua nitajibiwa eti dharula mf MP au kuchanika kwa nguo kunaweza kutokea ghafa, sa kama ni ivyo, itakushinda nini kumtuma mtu wa hapo ofisni akakununulie sindano ,uzi au always?

Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.

wallet kaka yangu ndo ina hizo pesa na atm cards
but hakuna faida ya kuwa kila nguo yangu ikichanika kifungo nikanunue mpya wakati naweza kuikarabati kirahisi.............au nisubiri mpaka nipate siku zangu kazini nimtume mtu pedi! agggrrr

kwenye sherehe tunabeba clutch bags..............na mara nyingi yangu huwa inaingia simu, pesa, lipstick na tissue tu
 
Kwanini kwenye hiyo list hakuna hela/ ATM card?

Mi nilizani ndo vitu vya muhimu mwanamke kuanavyo na vingesaidia kupatikanika kwa nafasi kwenye dalalala.

Sa mfano unafanya kazi Kariakoo, kunaulazima gani wa kubebelea saduku wakati vitu vyote vinapatikanika madukani?
Najua nitajibiwa eti dharula mf MP au kuchanika kwa nguo kunaweza kutokea ghafa, sa kama ni ivyo, itakushinda nini kumtuma mtu wa hapo ofisni akakununulie sindano ,uzi au always?

Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.



Hapo kwenye red, umejuaje hayo kaka JAMBAZI???
 
wallet kaka yangu ndo ina hizo pesa na atm cards
but hakuna faida ya kuwa kila nguo yangu ikichanika kifungo nikanunue mpya wakati naweza kuikarabati kirahisi.............au nisubiri mpaka nipate siku zangu kazini nimtume mtu pedi! agggrrr

kwenye sherehe tunabeba clutch bags..............na mara nyingi yangu huwa inaingia simu, pesa, lipstick na tissue tu


Mbona c wanaume hatuna hofu ya kuchanika suruali zetu wala hatubebi cherehani?
 
Back
Top Bottom