...kina dada hunishangaza, pamoja na kutaabika kujibebesha mizigo kama hii, kwanini Khanga haikosekani kwenye mikoba yenu???
Eti watu wazima wenzangu, nini siri ya Khanga hizo, wanaenda nazo wapi au kwa matumizi gani? ....mtihani walaaaahi, ha ha...
na kanga pia kwa wabongo hasa tunaotembea kwa miguu na kupanda daladala zenye vumbihehehe hivi ni kweli watu wanatembea na kanga mkobani? mie na walionizunguka wote hawafanyi hivyo au ndio influence za culture za nje?!
anyway mimi nafikiri akina dada lazima mikoba isheheni kwa kuwa kuna vitu muhimu vya kubeba kila utokapo kwako
makeup (kama lipstick na sunscreen lotion, hand lotion, perfume ndogo...n.k)
Vitu vya matumizi ya kike kama panty liners and pads (wengine sio zao hanina utaratibu maalum inabidi wawe na bidhaa full time)
dawa (ya kichwa, ya maumivu, ya mafua, ya pumu)
miwani ( ya jua au ya kuonea)
Sewing kit (vifungo, uzi na sindano, mkasi)
Stationery kit ( kalamu, flash drive, small note pads n.k)
jamii ya tissue ( tissue, wet tisues, handkerchief)
jamii ya candies ( chewing gum, chocolates, sweets)
wallet
simu
n.k
sasa vitu vyote hivyo lazima kibegi kijae ati au unanambiaje?
mom kwa hiyo kanga unaitandaza kwenye daladala kwanza ndo unakaa au inakuwaje?
hebu nipe shule kwanza kuhusu matumizi ya hizi kanga mikobani
hehehe hivi ni kweli watu wanatembea na kanga mkobani? mie na walionizunguka wote hawafanyi hivyo au ndio influence za culture za nje?!
anyway mimi nafikiri akina dada lazima mikoba isheheni kwa kuwa kuna vitu muhimu vya kubeba kila utokapo kwako
makeup (kama lipstick na sunscreen lotion, hand lotion, perfume ndogo...n.k)
Vitu vya matumizi ya kike kama panty liners and pads (wengine sio zao hanina utaratibu maalum inabidi wawe na bidhaa full time)
dawa (ya kichwa, ya maumivu, ya mafua, ya pumu)
miwani ( ya jua au ya kuonea)
Sewing kit (vifungo, uzi na sindano, mkasi)
Stationery kit ( kalamu, flash drive, small note pads n.k)
jamii ya tissue ( tissue, wet tisues, handkerchief)
jamii ya candies ( chewing gum, chocolates, sweets)
wallet
simu
n.k
sasa vitu vyote hivyo lazima kibegi kijae ati au unanambiaje?
hiyo ya khanga nadhani sio wanawake wote, cjakuaga nawazo la kubeba khanga kabisa, sema handbag yangu haiishi makorokoo, yaani nikitupa fones humu kuzipata ni mpaka ni beep, cjui hata kwanini...lol
hii ni kwa mm gaijin. nikiingia kwenye daladala yenye vumbi hasa kama nimevaa nguo nyeupe nitafunga hii kanga ndio nikae then nikishuka nakunja na kurudisha kwenye pochi.
au imgn ni mvua inanyesha nawe uko mbali na hom, then inapita gari na maji machafu yana
kwa kuongezea... mwambie kuwa manesi ndio wanatumia sana kanga kwa staili hii
hii ni kwa mm gaijin. nikiingia kwenye daladala yenye vumbi hasa kama nimevaa nguo nyeupe nitafunga hii kanga ndio nikae then nikishuka nakunja na kurudisha kwenye pochi.
au imgn ni mvua inanyesha nawe uko mbali na hom, then inapita gari na maji machafu yana
kwa kuongezea... mwambie kuwa manesi ndio wanatumia sana kanga kwa staili hii
haa kumbe ni manes zaidi? mi sio nesi lakini nikijua nina mizunguko lazima niweke huko kanga.
Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.
Pia inasaidia sana hasa pale unapopata deal la kushtukiza la infidelity.haa kumbe ni manes zaidi? mi sio nesi lakini nikijua nina mizunguko lazima niweke huko kanga.
Kwanini kwenye hiyo list hakuna hela/ ATM card?
Mi nilizani ndo vitu vya muhimu mwanamke kuanavyo na vingesaidia kupatikanika kwa nafasi kwenye dalalala.
Sa mfano unafanya kazi Kariakoo, kunaulazima gani wa kubebelea saduku wakati vitu vyote vinapatikanika madukani?
Najua nitajibiwa eti dharula mf MP au kuchanika kwa nguo kunaweza kutokea ghafa, sa kama ni ivyo, itakushinda nini kumtuma mtu wa hapo ofisni akakununulie sindano ,uzi au always?
Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.
Kwanini kwenye hiyo list hakuna hela/ ATM card?
Mi nilizani ndo vitu vya muhimu mwanamke kuanavyo na vingesaidia kupatikanika kwa nafasi kwenye dalalala.
Sa mfano unafanya kazi Kariakoo, kunaulazima gani wa kubebelea saduku wakati vitu vyote vinapatikanika madukani?
Najua nitajibiwa eti dharula mf MP au kuchanika kwa nguo kunaweza kutokea ghafa, sa kama ni ivyo, itakushinda nini kumtuma mtu wa hapo ofisni akakununulie sindano ,uzi au always?
Afu hayo mabengi msiwe mnakuja nayo kwenye sherehe, kwani hutumika kuibia vinywaji.
Hapo kwenye red, umejuaje hayo kaka JAMBAZI???
Pia inasaidia sana hasa pale unapopata deal la kushtukiza la infidelity.
we unawaza infidelity tu! bado sana cjafikiria najitahd nisiingie maana najua cku nikiamua naweza nisirudi kifungoni!
wallet kaka yangu ndo ina hizo pesa na atm cards
but hakuna faida ya kuwa kila nguo yangu ikichanika kifungo nikanunue mpya wakati naweza kuikarabati kirahisi.............au nisubiri mpaka nipate siku zangu kazini nimtume mtu pedi! agggrrr
kwenye sherehe tunabeba clutch bags..............na mara nyingi yangu huwa inaingia simu, pesa, lipstick na tissue tu
Unajitahidi usiingie wapi na kanga? Gesti au?we unawaza infidelity tu! bado sana cjafikiria najitahd nisiingie maana najua cku nikiamua naweza nisirudi kifungoni!