Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

jambo JF tuko pamoja..........leo naendelea na utaratibu ule ule wa kukumbushana juu ya suala hili la Ukimwi na virusi vya ukimwi... leo tuangalie hili suala limekaaje maofisinimwetu.kama...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
Leo nimeamka asubuhi na mke wangu,cha kushangaza ni kukuta amechanjwa chale mapajani yaani kila paja chale mbili. Tumejaribu kujadili ni nini hasa kimetokea tunashindwa kujua,sisi ni wacha Mungu...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Hi, naombeni wana jf tujuzane katika hili labda litasaidia....maana ya ndoa ni nini na inajengwa na nini ili iweze kudumu? karibu
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Juzi jumamosi, nimetoka kufanya harusi ya ndugu yangu mpendwa, nilikuwa mmoja wa wanakamati, na wedding hiyo japo ilikuwa ya kawaida tu hesabu zake kwa haraka zilikuwa 25m hivi. Kila nikiwaza...
5 Reactions
37 Replies
8K Views
http://www.eastafricaherald.com/2012/05/i-have-lost-six-wives-to-aids.html
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I was 16 at that time and one man I had never seen before (who looked like he was in his 50s) sat besides me and asked me if i wanted to go to his house and watch Tom and Jerry. He was very...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ndugu nilikuwa naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa watu kupendana kwa dhati kimapenzi bila kuenjoy sex?
1 Reactions
72 Replies
14K Views
Wakuu wa JF, mabibi na mabwana Salamu, Naomba tuendelee kujadili hili swala la uchangiwaji wa madaraka ya nyumba linalomhu baba na mama, Tuanze kwaza huko nyuma kabla ya kufika hapa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa mwenzenu siku kama nne zilizopita nilipokea sms kutoka kwa mpenzi wangu ikisema "Yaani mpenzi ujue una nguvu sana moyoni mwangu hivi umeniwekea nini?" kwa shauku ya kutaka...
1 Reactions
90 Replies
7K Views
Send to a friend Wednesday, 23 May 2012 20:46 0digg Raymond Kaminyoge KAMATI ya Bunge ya masuala ya Ukimwi imeelezwa kwamba ukosefu wa mikopo na uhaba wa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Kuna kijana anahitaji ushauri wangu juu ya msichana yupi anafaa kumuoa kati ya hawa wawili anaodate nao, nimeona ni vyema kupata ushauri kutoka kwenu wadau kabla ya kumuadvice accordingly! Binti...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Sote tunajua kazi ya ulimi wakati wa kula chakula,bila ulimi huwezi kutafuna,bila ya ulimi huwezi kusikia ladha.Lakini kwenye uhusiano ulimi nao unahusika kwenye kuuimarisha uhusiano au...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Ktk jamii nyingi kumekuwa na malalamiko mengi juu wapenzi wengi kutokuwa waaminifu kwa wenzi wao juu mahusiana ya kimapenzi, hii inatokea kwa wapenzi, wachumba na hata wanandoa. Wengi wamekuwa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Swali hilo hapo jamani naombeni majibu.
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Nimeikuta mahali hii nikaona tushee japo mimi hainiingii akilini sana kuna K inajisafisha yenyewe. Habari zenu kina dada, mama na wadogo zetu. Tungependa ku-share nanyi kuhusiana na jambo moja...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
heshima kwenu wakuu, ushauri wangu ni kuhusu mapishi na mapochopocho mnayotupikia hasa kwa sisi watu wa hali ya kati na chini. wanawake wengi hawana ubunifu katika sekta nyeti ya mambo ya jikoni...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Msemo huu ukiuangalia kwa upande mmoja ni kweli tupu ila ukiangalia maumivu wanayopata waliopoteza lovers wao unaona una walakini... Mfano ni kama mtu alikuwa amezoea kula nyama mbichi, huyu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Picha hii haihusiani na habari hii............. Ni kidonda kikubwa cha hisia, lakini nimemudu kukiponyesha na sasa limebaki kovu tu ambalo halina mauamivu kwangu. Kidonda hiki cha kihisia...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
jaman mwenzenu nahisi nimesingiziwa mtoto maana nafanana nae vidole tu, nahisi hio ni coincidence.... Mana huyu mama yake hakuwa mtulivu sna... People!!!!!!! DNA ya bei rahisi ni sh. Ngapi?
1 Reactions
81 Replies
12K Views
WIFE: I wrote your nameon sand it got washed. Iwrote your name in air, it was blown away. ThenI wrote your name on my heart & I got Heart Attack. HUSBAND: God saw me hungry, he created pizza. He...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom