PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,999
Wakuu wa JF, mabibi na mabwana Salamu,
Naomba tuendelee kujadili hili swala la uchangiwaji wa madaraka ya nyumba linalomhu baba na mama,
Tuanze kwaza huko nyuma kabla ya kufika hapa kwa nyumba...sana sana kwenye 'courtship'.
Nauliza swali moja tu kwanza kisha mchakato utaendelea,
KINA DADA/MAMA: Ni wangapi kati yenu mlidiriki kugharamia mitoko yenu na baba nanihii mtarajiwa kufikia
kiwango cha asilimia 50 kwa kila 50% baba nanihii alizochangia?
KINA KAKA/BABA : Ni wangapi kati yenu mliwahi kuwa na wenzi ama kuona wenzi waliojitoa
kugharamia kufikia 50% ya mitoko?
Naomba tuendelee kujadili hili swala la uchangiwaji wa madaraka ya nyumba linalomhu baba na mama,
Tuanze kwaza huko nyuma kabla ya kufika hapa kwa nyumba...sana sana kwenye 'courtship'.
Nauliza swali moja tu kwanza kisha mchakato utaendelea,
KINA DADA/MAMA: Ni wangapi kati yenu mlidiriki kugharamia mitoko yenu na baba nanihii mtarajiwa kufikia
kiwango cha asilimia 50 kwa kila 50% baba nanihii alizochangia?
KINA KAKA/BABA : Ni wangapi kati yenu mliwahi kuwa na wenzi ama kuona wenzi waliojitoa
kugharamia kufikia 50% ya mitoko?