OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
heshima kwenu wakuu, ushauri wangu ni kuhusu mapishi na mapochopocho mnayotupikia hasa kwa sisi watu wa hali ya kati na chini. wanawake wengi hawana ubunifu katika sekta nyeti ya mambo ya jikoni kitu kinachopelekea tuzoee vyakula vinavyopikwa majumbani mwetu kwani ni vile vile tu vinajirudiarudia.. mfano asubuhi unaweza kupikiwa chai na vitafunwa (vitumbua,mikate, chapati,maandazi nk) ambazo kwa asilimia kubwa ni vyakula vya aina moja (starch)... mchana utapikiwa ugali / wali na mboga ambavyo navyo ni starch na usiku utakuta unaweza kupikiwa wali / ugali (starch) ukibadilishiwa sana viazi, ndizi, makande hali inayopelekea afya zetu hasa nguvu za kiumeni kuwa DUNI na kusababisha kutufaya kuwa wazito na kuota vitambi.
USHAURI:
1 - kuna makabila zaidi ya 120 hapa nchini ambayo kila kabila lina chakula chake kikuu that we might be interested kula vyakula hivyo + vyakula mbali mbali kutoka makabila ya nchi za nje na huko dunia ya kwanza bila kusahau vile vya mahotelini kwa wenye kipato cha kati. Hivyo kama mwanamke akiwa mbunifu na akafahamu kuwa chakula ni basic need na sekta muhimu katika ndoa au maisha yao na mwenzake anaweza kufanya kila njia akajifunza namna ya uaandaaji wa kupika vyakula mbali kutoka sehemu nyingi duniani kama nilivyoeleza hapo juu, hali itakayopelekea kutorudia kupika chakula cha aina moja kila siku.
2 - ni muhimu wanawake wetu wa tanzania wakajifunza si tu kipa na kuandaa chakula bali CHAKULA BORA na MILO KAMILI kwani ni muhimu sana sana katika kuwa na AFYA BORA. Kumbuka kuwa kula mlo kamili si gharama kama wengi wanavyofikiri bali ni kupangilia tu bajeti yako. Mfano: badala ya kununua nyama nusu kilo kwa ajili ya kupika mboga, unaweza ukanunua nyama robo , mboga za majani na matunda kwani kiasi kinachohitajika tumboni ni kiasi kidogo (vipande 2 hadi 4) vya nyama kuliko kumuandalia mumeo mchuzi jaa na vipande 10 vya nyama.
Nawasilisha.
USHAURI:
1 - kuna makabila zaidi ya 120 hapa nchini ambayo kila kabila lina chakula chake kikuu that we might be interested kula vyakula hivyo + vyakula mbali mbali kutoka makabila ya nchi za nje na huko dunia ya kwanza bila kusahau vile vya mahotelini kwa wenye kipato cha kati. Hivyo kama mwanamke akiwa mbunifu na akafahamu kuwa chakula ni basic need na sekta muhimu katika ndoa au maisha yao na mwenzake anaweza kufanya kila njia akajifunza namna ya uaandaaji wa kupika vyakula mbali kutoka sehemu nyingi duniani kama nilivyoeleza hapo juu, hali itakayopelekea kutorudia kupika chakula cha aina moja kila siku.
2 - ni muhimu wanawake wetu wa tanzania wakajifunza si tu kipa na kuandaa chakula bali CHAKULA BORA na MILO KAMILI kwani ni muhimu sana sana katika kuwa na AFYA BORA. Kumbuka kuwa kula mlo kamili si gharama kama wengi wanavyofikiri bali ni kupangilia tu bajeti yako. Mfano: badala ya kununua nyama nusu kilo kwa ajili ya kupika mboga, unaweza ukanunua nyama robo , mboga za majani na matunda kwani kiasi kinachohitajika tumboni ni kiasi kidogo (vipande 2 hadi 4) vya nyama kuliko kumuandalia mumeo mchuzi jaa na vipande 10 vya nyama.
Nawasilisha.